Ninaposema kuwa kuna watu wanakwenda shule kusomea ujinga, shule hizo huwa na walimu kama huyu mleta mada.
Mi naona kama kitu kiko inje ya uwezo wako bora ukanyamanza tuu kuliko kubweka ka umbwa,,, hivi unafikiri alichofanya mwalimu ni busara ya hali ya juuu mno
Chukulia mfano,,, huyu mtoto angemwambia hakimu maneno yale ungepeta majibu gani, angemwambia muhandisi kauli hiyo ungetegemea nini,, angemwambia daktari kauli hiyo kingefanyika nini,, angemwambia mmeo kauli hiyo kingefanyika nini
Msikurupuke tuu angalia chenga mwl alilompiga binti kutoka kuongelea kupendwa mpaka kupata ratiba na utaratibu mzima wa kujisomea,, kwa wataaalamu watajua ni mizunguko mingapi kwenye urefu wa ubongo
Mwlalimu niko na wewe na nikutie moyo
Hawa wengine ni wapuuuuzi tuu hawajui
Kuambiwa unataka utunukiwe bikra tena ya mtoto wa kidato cha nne,, na umeikwepa kiukweli hapo nimekubali ualimu ni kazi nyingine na kuwapata kama wewe ni mara chache mno
Ningeomba hata akimaliza usithubutu kufanya hicho kitendo kwani kitaishusha thawabu yako ulojikusanyia kwa kipindi hiki
Kweli we ni mwalimu bora daima
Ndio maana kupotia wewe A zimepatikana
Mbeleni hiyo itakuongezea cv nyingi kwa kufanya revolution