Nikicheza vibaya, miaka 30 hii hapa

Nikicheza vibaya, miaka 30 hii hapa

Hawa wanafunzi hawa, shetan ananiita kabisa na miaka 30 ileeeee , ebu nipen mbinu waungwana

Mimi ni mwalim nafundisha shule frani hivi na tokea nmeanza kufundisha sijamaliza hata mwaka

Kuna katoto kapo kidato cha4, haka katoto nlikasanukia harakat zake , nkiwa nafundisha kananiangalia kimahaba na kila muda full kutabasam.kakijibu swali fuul kudeka, m nkawa nakachek tu af naendelea na kazi

Sasa juzi staff kukachafuka balaa mitoto imefel wakt kazi imepigwa ya kutosha, maticha tukamua kutoa dozi ya kutosha.
Asa katikaa waliofeli kuna watoto kama watatu hivi mwanzon walikua wanafanya vizur uko nyuma

Academic ikabid awape karatasi ili waandike maelezo ni nini hasa kinachowafanya wafeli?

Baada ya barua kurudishwa nkashanga academic ananiletea barua. Kuchek jina ni kale kadent ambako huwa kananidekea.

Kameandika et kanafeli kwakua kananipenda, et kakiniona tu kanachanganyikiwa na hakawezi kusoma na kuelewa, kamedai hata kakirud nyumban kananiwaza mimi tu.

Baada ya ilo íkabid nikaite private, nikakauliza kwanin kananipenda kakawa hakajibu. Badae nikanza kukasifia kalivyo kazuri, nikakasifia kalivyo na uelewa mzuri katika masomo hadi walim tunakakubali. Nkakakumbusha jinsi kwao wanavyokategemea . nikakapa matumain makubwa sana juu ya maisha yake ya badae jinsi atakavokua badae

Baada ya kukapamba na kukapa matumain ikabid kaanze kufunguka . kakaniambia kanapenda nnavofundisha, nnavowashaur darasan na siwachap ovyo, nawaonesha upendo , kwahiyo et akawa anataka kunipa zawad ya bikra ili iwe kumbu kumbu kwangu na kwake maana atamaliza sio muda.
Apo kwe bikra apo na katoto si haba af kameshachezwa haka na kanajua thaman ya bikra, asa m nawaza bikra anawazaje kitu asichokijua had afeli?

Badae nkakambia kaandike ratiba af nkakaelekeza jinsi ya kusoma kwa kufaulu na nkakambia ntafatilia usomaji wake kwa kuchek summary zake na madaftar yake. Nmekambia kakifaulu ntakasurplize

Ila hapo kwe bikra apo nahis shetan ananiita kabisa,
Wakuu ebu nipen nyongeza apo nifanye nn kingine ili anitoe kabisa mawazon mwake
Ukija tena na Uzi wenye kichwa"Nimeliwa kiboga baada ya kufumaniwa na mwanafunzi" niite nikushauri
 
Somo langu nmetoa A tatu waliomaliza mwaka jana. Madogo nmekabiziwa mwezi wa6 tu lakin nikawasuka kininja had wametoboa. Wilaya nzima A zipo tano alafu tatu ni zangu
Mh haya mkuu endelea tu kuwasuka kininja watoto wa watu
 
Ninaposema kuwa kuna watu wanakwenda shule kusomea ujinga, shule hizo huwa na walimu kama huyu mleta mada.
 
wenye bikra huwa wana aibu. hawezi kukueleza hayo yote.
 
Kilaza kufundisha vilaza wenzie ni jipu uchungu aisee
Kweli jf ilikua zamani



Mwenzenu kaomba mumusaidie njia nyingine ili awe salama na kumsaidia yule mtoto. Sasa nyie mmegeuza ni tuhuma kwa mwl. Kumbe mlitaka msikie kabaka
 
Huyo sio mwalimu na hata kuku anaweza kuandika vizuri.Kenge kabisa mwenye ukurutu,jitu zima linaandika mambo ya laana yaani wanawake wamejaa kila mahali lenyewe linafikiria kuharibu watoto wadogo.Sasa ngoja atakafungwa jela atolewa na wanaume wenye super mtanange mpaka atalegea kila mahali.ATI BIKRA my foot.
Kweli nimewahi ona upuuuz jf ila hili lmetisha. Ikumbukwe huyu bado na yeye ni kijana hivyo kua mwl sio kwamba ule ubinadam bado umo, na yule binti mjue asili kwanza ya mabinti wa siku hizi. Ningependa kuona mkimpa mawazo chanya yamsaidie


Mwl hongera sana cheza na saikolojia ya huyo mtoto na ikiwezekana ongea na wazoefu hasa huyo mtaluma kisha punguza ruti za darasani zisizo za lazma,
 
We ni mwalimu kweli?
Hapo ni mbinu angalau amalize, ikumbukwe kutoka kumaliza mpaka matokeo kutoka huyu mtoto atakua alishajichanganya maani na hayuko mikononi kwa mwalimu huyo tena. Hivyo anaweza kutumia busara yake ya kumwambia kua hawezi kumgegeda kwani saikolojia ya mtoto kuumia wakati huo hatuuhesabu kama mtoto.


Mnamshambulia tuu lakini nyinyi hao hao ndoo mnaotuharibia watoto.


Mwalimu kweli wewe umepevuka kiakili na umelelewa vizuri chuoni kwako.
Sijui umesoma chuo gani??? Nadhani we ni wa diploma sio wa barchela umenionyesha imani kubwa sana na naamini kwa waelewa wamependa mawazo yako na yamejitosheleza ndio maana hakuna anayeongeza


Ila usihadaliwe na bikra nimependa sana hatua ulizochukua
 
Ahaa basi we endelea KUPENDWA TUUU,Ile kuandika tu habari ya kupenda au kupendwa na mwanafunzi ambayo ni kinyume cha sheria kwako wewe unaejiita mwalimu ni sababu tosha kwa sisi wanajamii kuhamaki.
Hapo hajavunja sheria yoyote. Ndio maana kaaamua kuleta ili mumusaidie atumie njia gani. Ikumbukwe huwezi zuia mtu kukupenda


Yeye kapendwa kaamua kutushirikisha na amfanya hivo ili kuwa salama.
 
Somo langu nmetoa A tatu waliomaliza mwaka jana. Madogo nmekabiziwa mwezi wa6 tu lakin nikawasuka kininja had wametoboa. Wilaya nzima A zipo tano alafu tatu ni zangu
Kwa triki uliyotumia hapa inaonyesha akili yako iko juu

Hivyo mi nakupongeza sana mwalimu

Ikumbukwe mwl ndoo anayeishi na warembo na usidhani huyo ni wamwisho watakuja wengine andaa mikakati mingi tuu na tumia akili nyingi asee
 
Hicho ulichokiandika hapa hakihuski
Shikamoo mwalimu,
hivi huko vyuo vya ualimu huwa mnafundishwa nini jamani? hata introduction to psychology tu ingetosha kukujuza cha kufanya!
Ninawasiwasi na uwezo wako wa kubabadua na kutafakari mambo kwa kina
 
Ukija tena na Uzi wenye kichwa"Nimeliwa kiboga baada ya kufumaniwa na mwanafunzi" niite nikushauri
Kweli hampendi mafanikio ya mtu na hii ni dalili kabisa asilimia kubwa ya watz ni wachawi vuchwani mwao

Wewe ukipewa uchawi unaweza loga jinga wewe
 
Back
Top Bottom