Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,395
- Thread starter
- #21
Mkuu, ujana na Balehe ni challenge sana kama usipokuwa makini.............. Kwa mtu kama mimi niliyekulia kijijini ambapo tulikuwa hatuna utamaduni wa kutongoza, na badala yake unawasubiri mabinti wakienda mtoni na huko mnashindana kupigana mieleka, na kucheza sarakasi mpaka kieleweke.............wakati mwingine unaweza kung'atwa na kuondoka na ngeu, lakini utamu wa utukufu unakusahaulisha machungu ya meno, unarudi nyumbani huku umekenua watati damu inakuvuja kwenye jeraha la meno..............Mtambuzi bwana na ile hadithi nyingine ulipigwa club kwa kung'ang'ania mwanamke ukidhani ni wanaojiuza duuu!
mkuu unaonekana ulikuwa unapenda sana ngono!