Nikaribisheni dar wana jf

Jinsia yako tafadhali?
 
hapa kuna Nduka na Nduka original....kimbembe<br />
<br />
Huko charambe hivi ni sehemu ya dar kweli?<br />
<br />
Namwona NOT ENOUGH anachungulia, kama yupo nadhani atakukaribisha tu
<br />
<br />
Charambe ni wilaya mpya ya Mbagala. Mkuu wetu wa wilaya ni T. Hiza! Karibsana Mkuu.
 
<br />
<br />
Unatokea mkoa gani mkuu? ili tukukarimu kwa kuzingatia utokako.
 
Karibu Manzese kwa mfuga mbwa,shuka manzese ulizia.
 
 
Charambe + Kitunda + Mwananyamala kwa kopa!
Ni rahisi sana kukufahamu wewe ni mtu wa aina gani! Karibu lakini

Ni heri mimi ninaekuja huko uwsahilini kwa shughuli zangu kuliko wewe unaekaa Ostarbay kwa dada yako. Siku shemeji yako akilewa akianza kupiga nyapu yake unalalamika. MODS naomba msinipige BAN huyu kijana kanianza mwenyewe.
 
Ni heri mimi ninaekuja huko uwsahilini kwa shughuli zangu kuliko wewe unaekaa Ostarbay kwa dada yako. Siku shemeji yako akilewa akianza kupiga nyapu yake unalalamika. MODS naomba msinipige BAN huyu kijana kanianza mwenyewe.

wewe nenda keko,tandika,manzese and the like,....asikufundishe mtu eti uishi wapi?.....wengine tunaridhika na maisha ya uswazi kuliko huko mnakofungiana kama kuku wa kisasa kwenye mageti yenu
 
Ukija maeneo ya mbezi shuka samaki " nikuonyeshe upande wa pili wa Jiji !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…