Nikaona maiti zao..!

Nikaona maiti zao..!

Ahsante sana Mtambuzi....Kwa kuandika story, umejaliwa kama Punda!!

Hivi kazi ya kuandika kitabu cha zile kesi zenye mvuto kimeishia wapi??

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
mmhh,nimeumia,ila nimejifunza kumckiliza mtu yyt c kumcrash b4 hajamaliza kuongea
 
thanx mtambuzi doing this unatukumbusha binadam kurudi kwenye mstari unaotakiwa na kwamba maisha ni kitu cha ajabu sana
 
Ahsante sana Mtambuzi....Kwa kuandika story, umejaliwa kama Punda!!

Hivi kazi ya kuandika kitabu cha zile kesi zenye mvuto kimeishia wapi??

Babu DC!!
Nazikusanya bado, mpaka sasa zimefika 50, na ninataka zifike 100
 
kwa kweli hata nami machozi yamenichuruzika...kweli ihsani haiozi...

Hivi kile kitabu cha Jitambue - maisha na mafanikio bado vipo sokoni...na nitakipata wapi kwa dar/dodoma plz anybody...kilikuwa kina mafunzo kama hayo
 
Hapo Hotelini kulikuwa na bwana mmoja aliyekuwa amekaa pembeni na mkewe na watoto wao wakila.

Sijaelewa mtambuzi hebu nijulishe, sasa kwenye ajali baadae ukasema wazazi walikufa pembeni kulikuwa na kitoto, je watoto wengine vipi?
 
imeniliza wallah! so so touching! again thanx to u babu Mtambuzi
 
Last edited by a moderator:
This a very touching narration. JK has to read this itamrudisha kwenye mstari! Tenda wema uendw zako ...walisema wahenga.
 
mmmh mpaka nimelia jamani, story imenisisimua sana, lakini nimeshukuru mwisho wake umenifariji na ubarikiwe sana zaidi na zaidi (ukimsaidia yatima unamkopesha Mungu, malipo yapo tu hata kwa kizazi chako). Ki ukweli nakuunga mkono kuwa wema hauozi fanya wema kadri uwezavyo na hata kama hutalipwa wewe, inakua ni hazina kwa kizazi chako.. Pia kwa kuongezea hapo,mara nyingi kadri unavyoendelea kufanya mema kwa kadri ya uwezo wako, Mungu anakuepusha na mabaya mengi ,mengine unayaona kabisa mengine huyaoni.. mimi binafsi nimekua shahidi wa haya ninayo yazungumza. Vivyo hivyo hata ubaya.. tena ubaya huwa unarudi faster hata unaweza ukashangaa hata mwaka haujaisha.. limekupata jambo ukashangaa why??? ukijaribu ku recall back utaweza kuona pengine kunajambo fulani baya ulimfanyia mtu .. afu yule mtu hakusema na wewe.. analia na Mungu tu.. Haya yapo sana kwenye maofisi yetu na mimi pia ni mshahidi wa hayo. So ndugu zangu, kama unaona huwezi kumtendea mtu jema bora umwache tu kuliko kumtendea baya.. litakurudia tu hata kama ni ten years to come.
 
Hapo Hotelini kulikuwa na bwana mmoja aliyekuwa amekaa pembeni na mkewe na watoto wao wakila.

Sijaelewa mtambuzi hebu nijulishe, sasa kwenye ajali baadae ukasema wazazi walikufa pembeni kulikuwa na kitoto, je watoto wengine vipi?

Samahani nadhani ni makosa ya uchapaji, ilitakiwa kusomeka mtoto
 
Duh, kweli naikosa JF....

Hii uzi niliiona toka majuzi, ila sababu nilikuwa napita tu fasta sikujua kuwa kunahazina kiasi hichi.

Laiti maandishi haya yangezijaza kurasa za magazeti na majirida yetu, sidhani kama kungekuwa na ombwe hili la usomaji miongoni mwetu.

Ahsante Mtambuzi kwa afya hii ya ubongo.
 
Last edited by a moderator:
Ardhi ni tajiri sana kwani inameza kila kitu,bonge la story,unaweza kuwapa wataalam wakatengeneza kitabu au movie moja ya ukweli sana.Fundisho hapa ni kuwa wema hauozi na binadamu tunajua tulikotoka ila tuendako hatujui.
 
Sorry, mtambuz naomb unikumbushe title za story zako mbili zilizotangulia,ile ya kenya nyngne nimeisahau kbsa,ama mwnye kukumbka,tafadhari.
 
Sorry, mtambuz naomb unikumbushe title za story zako mbili zilizotangulia,ile ya kenya nyngne nimeisahau kbsa,ama mwnye kukumbka,tafadhari.

"Kwangu mimi ilikuwa kama ndoto"

Nadhani ni hii ...... au?
 
Mtambuzi, hapa nilipo hata mimi machozi yananitoka, secretary wangu ananishangaa na ananiletea maji huku nikiandika, niko naye live ananiuliza kama ningependa kikombe cha kahawa,,,simjibu kitu " babangu kuna shida? Tina ananiuliza kwa sauti ya upole....mke wangu anapiga simu sasa ngoja nipokee, Ila ningependa kuwa na namba zako MCHAMBUZI, nikupigie sasa hivi? Mke wangu anapiga tena, sasa napokea!!!
 
Back
Top Bottom