Hongera Mtambuzi yaani ni juzi tu Mke wangu kipenzi kaenda kwao kusalimia ni nje ya Mkoa katika kubeba mkoba wake na mwanangu akasahau pochi iliyokuwa na Pesa yote na ya nauli pamoja na SimuImekugusa eh..............!
Nakumbuka nilikuwa mpenzi sana wa gazeti la Jitambue japo nilikuwa bado sijakomaa vyema, nilipokuwa nasoma wakati ule nilisoma kwa kuvutiwa na habari na simulizi za kusisimua wakati huo huo nilikuwa nahangaika kweli kujitambua na kutafuta nafasi yangu duniani.
Niseme unconsciously Jitambue limehusika sana kunijenga katika mtu niliye sasa....
Asante Mtambuzi na wengine hapa JF kwa kuendelea kufanya tuzidi kujitambua kupitia mabandiko yenu
Mzee mwenzangu Asprin, Gazeti la Jitambue halijafa bado, kwani wewe hulisomi humu JF kila siku..
Hebu wasome kina Eiyer, SnowBall, HorsePower na wengineo wengi tu wenye mtazamo wa Kiutambuzi utaliona Gazeti la Jitambue dhahiri kupitia mabandiko yao humu JF............