guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,814
- 2,761
Sawa
Kwani hujui kuwa siasa ndio maisha?/Unauwezo mdogo sana wa kufikiri. Unawezaje kufanya maamuzi ya hovyo kiasi hicho kisa siasa? Hutakiwi kuendeleza milengo ya kisiasa hatà baada ya hayo kupata.
Ukichagua upinzani sileti maendeleo"Tusifike Huko,Zanzibar Haya Mambo Wakati Fulani Yaliwapa Tabu Sana Ikafikia Hatua Mbaya Mno
Mwanachama Wa CUF Alikuwa Hawezi Kumzika Wa CCM
Pia Ilikuwa Kuoa/Kuolea Na Mtu Wa Chama Tofauti Haiwezekani.
Mpaka Wakatafuta Maridhiano
Guinness wangechungulia na huu wa kwetu, maana zile kura feki zilikua za kutishaUnauwezo mdogo sana wa kufikiri. Unawezaje kufanya maamuzi ya hovyo kiasi hicho kisa siasa? Hutakiwi kuendeleza milengo ya kisiasa hatà baada ya hayo kupata.
Kila mtu na mawazo yake , huijui siasa ni maisha,dawa yenu msiojielewa ndo hiyo tu.Unauwezo mdogo sana wa kufikiri. Unawezaje kufanya maamuzi ya hovyo kiasi hicho kisa siasa? Hutakiwi kuendeleza milengo ya kisiasa hatà baada ya hayo kupata.
Usinichanganyie Battery Na Gunzi Hiyo Torch SitaiwashaUkichagua upinzani sileti maendeleo"
Alisikika akisema
Kwahiyo wale wanaoua na kuwafunga wenzao kisa siasa wanauwezo mkubwa wa kufikiri! Fikiri kabla haujaandika.Unauwezo mdogo sana wa kufikiri. Unawezaje kufanya maamuzi ya hovyo kiasi hicho kisa siasa? Hutakiwi kuendeleza milengo ya kisiasa hatà baada ya hayo kupata.
Mimi mtoto wa ndugu yangu nayemsomesha... nimemwambia kabisa ndugu yangu shule zimefungwa mwanae ntampa nauli ya kurudi kwao kijijini... Na hapo ndipo utakuwa mwisho wa msaada wangu kwake....Huyu ni rafiki yangu wa kitambo. Alikuwa Mwana-CHADEMAmzuri na mpigania haki kweli kweli. Basi likaja lile wimbi la wapinzani kununuliwa na CCM akasepea ccm kuunga juhudi. Nikawa namcheki tu
Uchaguzi umekuja akawa mstari wa mbele kuikandia chadema na kuipaka matope wakati ndiyo iliyomtoa jalalani. Akawa MwanaCCM machachari kuliko hata wenye chama chao. Nikawa namcheki tu
Basi uchaguzi umeisha anakuja kwangu analialia alivyofulia, maisha yalivyomuwia magumu maana wajumbe walimkatilia mbali, eti anataka nimkopeshe pesa walau akawanunulie Watoto Ugali
Sikumchelewesha nikampa makavu laivu, nikamwambia umeshiriki kuwadhurumu watanzania na kuikana kweli kisa vipande vya fedha
Umetema Big G kwa karanga za kuonjeshwa sasa nenda kwa hao kina Magu na Polepole wakukopeshe. Hata mwezi baada ya uchaguzi bado ushaanza kulia njaa? Akapikie Watoto Fly Over na Bombardier.
Nikamwambia sikukopeshi hata mia shubaamit na urafiki ufe
Dawa ya hawa wasaliti wa haki ni kuwafungia vioo. Walidhani watakuwa na bei zao special za cement, sukari nk, kumbe tunakuja kusota nao hukuhuku mtaani
Umetisha mkuu. Safi sanaMimi mtoto wa ndugu yangu nayemsomesha... nimemwambia kabisa ndugu yangu shule zimefungwa mwanae ntampa nauli ya kurudi kwao kijijini... Na hapo ndipo utakuwa mwisho wa msaada wangu kwake....
Huyo ndugu yako naye aliunga mkono juhudi?Mimi mtoto wa ndugu yangu nayemsomesha... nimemwambia kabisa ndugu yangu shule zimefungwa mwanae ntampa nauli ya kurudi kwao kijijini... Na hapo ndipo utakuwa mwisho wa msaada wangu kwake....
Kuna jamaa naye kipindi cha Uchaguzi wa 2015 alikuwa anashabikia sana CCM kwenye group letu ,uchaguzi ulivyoisha akaanza kunipiga mizinga ,hapo awali kabla sijajua affiliation yake nilikuwa nampa ,ila baada ya kujua nikawa simpi maana nikaona hajitambui.Huyu ni rafiki yangu wa kitambo. Alikuwa Mwana-CHADEMAmzuri na mpigania haki kweli kweli. Basi likaja lile wimbi la wapinzani kununuliwa na CCM akasepea ccm kuunga juhudi. Nikawa namcheki tu
Uchaguzi umekuja akawa mstari wa mbele kuikandia chadema na kuipaka matope wakati ndiyo iliyomtoa jalalani. Akawa MwanaCCM machachari kuliko hata wenye chama chao. Nikawa namcheki tu
Basi uchaguzi umeisha anakuja kwangu analialia alivyofulia, maisha yalivyomuwia magumu maana wajumbe walimkatilia mbali, eti anataka nimkopeshe pesa walau akawanunulie Watoto Ugali
Sikumchelewesha nikampa makavu laivu, nikamwambia umeshiriki kuwadhurumu watanzania na kuikana kweli kisa vipande vya fedha
Umetema Big G kwa karanga za kuonjeshwa sasa nenda kwa hao kina Magu na Polepole wakukopeshe. Hata mwezi baada ya uchaguzi bado ushaanza kulia njaa? Akapikie Watoto Fly Over na Bombardier.
Nikamwambia sikukopeshi hata mia shubaamit na urafiki ufe
Dawa ya hawa wasaliti wa haki ni kuwafungia vioo. Walidhani watakuwa na bei zao special za cement, sukari nk, kumbe tunakuja kusota nao hukuhuku mtaani
Watanzania tume kosa furaha sababu ya CCM. Wote wanao shirikiana nayo watengwe tu.Na bado, mimi nikikutana na mccm ana shida naomba ziwe mara kumi yake.Unauwezo mdogo sana wa kufikiri. Unawezaje kufanya maamuzi ya hovyo kiasi hicho kisa siasa? Hutakiwi kuendeleza milengo ya kisiasa hatà baada ya hayo kupata.
Mimi sina chama. Niko upande wa haki na kweli. Yeyote ashirikiye katika udhalimu asinisogelee hasa nyie maccmSababu za kitoto sana, yani unamchagulia mtu upande wa kuwa mbona we jamaa hakukuchagulia na huu ndo ujinga tulio nao waafrika
Kwa hiyo kipindi alipokuwa Chadema ndo haki si ndiyo?Mimi sina chama. Niko upande wa haki na kweli. Yeyote ashirikiye katika udhalimu asinisogelee hasa nyie maccm
Pigia mstariKwa hiyo kipindi alipokuwa Chadema ndo haki si ndiyo?
Kumbe najibishana na mtu ambae hajui nini anafanyaPigia mstari
Hahaha...tukutane mtaaniKumbe najibishana na mtu ambae hajui nini anafanya