...Nikamwambia nenda kwa Polepole akukopeshe

...Nikamwambia nenda kwa Polepole akukopeshe

Tusifike Huko,Zanzibar Haya Mambo Wakati Fulani Yaliwapa Tabu Sana Ikafikia Hatua Mbaya Mno
Mwanachama Wa CUF Alikuwa Hawezi Kumzika Wa CCM
Pia Ilikuwa Kuoa/Kuolea Na Mtu Wa Chama Tofauti Haiwezekani.

Mpaka Wakatafuta Maridhiano
Maridhiano ni upumbavu. Juno KWA jino
 
Akili zenu hizi ndio zinazowahukumu kila kunapofika uchaguzi halafu mnalaumu mmeibiwa. Yani huko mmekuwa kama mapacha kuanzia mwenyekiti mgombea uraisi wenu mpaka sisimizi wa chini wote mmelogwa na kupumbazwa. Nyie endeleeni kubweka tu lakini sie tunaijenga nchi yetu pendwa. Dhuluma iko ndani yako mwenyewe ila hujielewi unafanya projection tu hapo. Unajifurahisha kwa kubweka bweka kuonekana bado upo. Mwingine kaenda kubweka Kule kwa waliomtuma. Hahahahahahahaha.
 
Kiukweli hata mm siwezi kumsaidia mwanaccm na juzi Kuna mama mmoja kaja kunikopa nimemjibj navyojua mm
 
Huyo mimi kwanza ningempa karoti akawatangulizie wanae kwanza, maana sifa ya karoti ni kuongeza njaa
 
Back
Top Bottom