kalaghesye
Member
- Jan 16, 2012
- 79
- 11
Mwenzenu niko njia ya panda. Baada ya kuona vibaka wanasota magerezani lakini wahujumu uchumi, wala rushwa na mafisadi wanatesa Bungeni, nimeanza kuona umuhimu wa kuripoti polisi ili walau wafikishwe mahakamani na sisi wananchi maana Serikali haitaki.
Nikaripoti wapi jamani?!
Nikaripoti wapi jamani?!