Kasusura ni mtanzania si Mtusi wa Rwanda. Kumbuka baba yake mkubwa Marehemu Chifu Stanislaus Rugaba Kasusura alikuwa Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa miaka mingi akiwa na Chifu Sapi Mkwawa.Kususura ni mtusi wa Rwanda. Ndugu zake wengi wamesharudi kwao kasoro amabo wa fema tv talk show. Alizaliwa mapacha, kulwa na doto, mwenzake alikwisha tangulia mbele za haki. Maisha yake kwa kipindi kirefu alikuwa akiishi kurasini then akaamia keko mwanga.
Kasusura ni mpole sana kwa ambao tunamfahamu, hii sifa ndio ilimfanya aaminike sana kwa ofisi aliyo kuwepo ya securty
Nilisikia taarifa kuwa alifia jela mkuuMmmh kafariki lini? Na alifia jela??
Okay,ngoja tutaona kama kaomba na hiyo review!!Kasusura yupo jela na bado ameomba Case Review hivyo bado anapambana mahakamani
Kwani Uzi ni wa M@j@kuzi??????????????????????????Nijuzeni kuhusu Jambazi "Mahhetta"
Hapana hajafariki yupo, ila alifiwa na pacha wake.Nilisikia taarifa kuwa alifia jela mkuu
Hajafariki yupo bado jela. Pacha wake ndie alifariki.Mmmh kafariki lini? Na alifia jela??
Okay kumbe Ana pachaHajafariki yupo bado jela. Pacha wake ndie alifariki.
Okay,yawezekana taarifa nilizosikia ni za huyo ndugu yake!!Hajafariki yupo bado jela. Pacha wake ndie alifariki.
Mkapa ni mtanzania?? Kuwa kiongozi aikuondolei wewe kutokuwa mtanzania. Embu niambie Alex mdogo wake kasusura sasa hivi yupo wapi?Kasusura ni mtanzania si Mtusi wa Rwanda. Kumbuka baba yake mkubwa Marehemu Chifu Stanislaus Rugaba Kasusura alikuwa Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa miaka mingi akiwa na Chifu Sapi Mkwawa.
Mkuu bullet kama hutojali,huyo pacha wake kafariki mwaka gani?maana kuna jamaa nikimjua alikuwa anafanana sana na Kasusura alikuwa hapendi kabisa kusikia akifananishwa nae na ni muda kidogo sijamuona..naomba ufafanuzi kaka.Hapana hajafariki yupo, ila alifiwa na pacha wake.
Mkuu bullet kama hutojali,huyo pacha wake kafariki mwaka gani?maana kuna jamaa nikimjua alikuwa anafanana sana na Kasusura alikuwa hapendi kabisa kusikia akifananishwa nae na ni muda kidogo sijamuona..naomba ufafanuzi kaka.
Yupo Dar es SalaamMkapa ni mtanzania?? Kuwa kiongozi aikuondolei wewe kutokuwa mtanzania. Embu niambie Alex mdogo wake kasusura sasa hivi yupo wapi?
Asante kwa ufafanuzi mkuu..Ni kati ya 2001 au 2002 ndipo alifariki. Sina uhakika na timing ya kifo chake, ila kufanana inawezakana kama ni jamaa yake kwa sababu katika koo zile ndugu wa kiume walikuwa wanaoa ndugu wa kike. Hiyo kufanana ni possible kabisa.