mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,251
Nenda keko utamkuta atakupa mkanda mzima
Yuko ukonga ....syo kekoNenda keko utamkuta atakupa mkanda mzima
Nijuzeni kuhusu "Jambazi" KasusuraHeshima kwenu wakuu.
Binafsi nawakubali members wa Jamiiforums kwa kutoa habari zenye details za kutosha.
Back to the topic, muda sasa nimekua nikisia story za vijiweni kuhusu askari aliyetambulishwa kama Kasusula ambaye alikua ana escort pesa za kigeni kutoka JKIA then akawateka wenzake na kuiba pesa zooote.
Sasa ningependa kupewa Ukweli na detailed information kuhusu Kasusula na tukio zima la wizi wa madola.
Natanguliza shukrani.
We ni expert wa sup. Nakukumbuka saaaana pale SautMa Expert Tumekuelewa ILA Sidhani Kama MAPOPOMA Wengi Wamekuelewa.
Nashukuru saaaaaana
Mmmh kafariki lini? Na alifia jela??Kasusura ashafariki muda tu mbona.....
Hivi Rukwa by Night bado IPO??Kasusura hata sumbawanga alikuja alifikia Guest inaitwa Rukwa by Night ya jamaa mmoja anaitwa Moshesh Mwamlima.Kasusura alikuwa anacheza Na mapolisi kuwapa mkwanja wakitaka kumkamata hatimae Mbeya ndio ulikuwa mwisho wake alikamatwa .
Kuna uzi unamwelezea vizuriUnless unaweka hapa Hizo details, hakifutwi kitu!
Kasusura hakufungwa maisha, amefugwa miaka 30. Mungu akimjalia uhai atatoka akiwa babuAliitwa Joseph Kasusura.....ha ha ha ha ha huyu jamaa alikuwa balaa ni kati ya wizi uliowahi kutikisa hapa nchini ila kama sijasahau alifia gerezani akiwa tayari ashahukumiwa kifungo cha maisha jera!!
Kasusura yupo jela na bado ameomba Case Review hivyo bado anapambana mahakamaniKasusura ashafariki muda tu mbona.....