Niijuavyo Freemasonry

Eiyer,

Uko vizuri Mkuu, asante sana kwa Elimu hii. Nimrod wanasema alisimika misingi ya kimason duniani. Ndie aliigawanya siku ktk masaa 24, mwezi ktj siku 28, 29, 30 na 31. Japo huwa najiuliza kabla walihesabu vipi siku?

Katika kitabu cha mwanzo, hii ni kabla ya yooote kutokea, muandishi anahesabu siku saba, hapa ni kwa kutumia masaa yapu? Haya alobadilisha Nimrod? Ama yapi? Kama unajibu naomba unisaidie tafadhali...
 

Masaa 24 ya siku, ni commandment ya Mungu, sio Nimrodi.

Siku za Kalenda hii tunayotumia kama leo tarehe 15 July 2014 ni kazi ya Roma na Kanisa.
 
Hivi unategemea nipate opportunity ya kumdeclare Mungu wa Kweli alafu niache sababu ntakuwa natoka nje ya Mada, wakati najua kabisa hata hii mada inapata nguvu kwa binaadamu kwa sababu ya kutomuabudu Mungu wa Kweli?

Lakini kumbuka sio tu kwakuwa unahubiri injili ya kweli basi unaweza kwenda kuhubiri baa kwa walevi

Mungu amekupa ubingo wakufikiri mahali palipo salama pa kupeleka neno lake lakini pia ubongo huo amekupa ili uone ni wakati gani ni sahihi kufanya jambo au laa

Hili ambalo unataka kulileta hapa halistahili hapa hata kama unadhani ni la ukweli,labda uneomba ruhusa kutoka kwa mwenye mada!
 

Siku kuwa na masaa 24 sio Nimrod bali ni Mungu kwakuwa mzunguko unaosababisha masaa 24 ni matokeo ya uumbaji na sio kitu kingine

Kuhusiana na tarehe au idadi ya siku katika mwezi pia sio Nimrod bali kuna historia ambayo inaelezea idadi ya siku kwenye mwaka,kalenda tunayotumia ni kalenda ya mfalme Gregory na ndio maana inaitwa Gregorian calender,huyu alikuwa ni mfalme wa Rumi ya kale,kuna historia ndefu sana kumhusu

Mungu alikuwa anahesabu siku ya kwanza,yapili,ya tatu na kuendelea na hakuweka majina ya siku,mwaka kwenye kalenda ya mwanza ulikuwa na siku 360 na sio 365/6 kama ilivyo sasa!
 

Nimekuelewa.
 
According to us Catholics......hawa wajenzi huru tunawachukulia kama maadui wa Injili.....huu ni mtizamo wa Kanisa Katoliki juu ya hawa wajenzi huru.....chanzo cha habari hii ikiwa Catholic Answers....

Freemasonry is incompatible with the Catholic faith. Freemasonry teaches a naturalistic religion that espouses indifferentism, the position that a person can be equally pleasing to God while remaining in any religion.

Masonry is a parallel religion to Christianity. The New Catholic Encyclopedia states, "Freemasonry displays all the elements of religion, and as such it becomes a rival to the religion of the Gospel. It includes temples and altars, prayers, a moral code, worship, vestments, feast days, the promise of reward or punishment in the afterlife, a hierarchy, and initiation and burial rites."

Masonry is also a secret society. Its initiates subscribe to secret blood oaths that are contrary to Christian morals. The prospective Mason swears that if he ever reveals the secrets of Masonry - secrets which are trivial and already well-known - he wills to be subject to self-mutilation or to gruesome execution. (Most Masons, admittedly, never would dream of carrying out these punishments on themselves or on an errant member).

Historically, one of Masonry's primary objectives has been the destruction of the Catholic Church; this is especially true of Freemasonry as it has existed in certain European countries. In the United States, Freemasonry is often little more than a social club, but it still espouses a naturalistic religion that contradicts orthodox Christianity. (Those interested in joining a men's club should consider the Knights of Columbus instead.)

The Church has imposed the penalty of excommunication on Catholics who become Freemasons. The penalty of excommunication for joining the Masonic Lodge was explicit in the 1917 code of canon law (canon 2335), and it is implicit in the 1983 code (canon 1374).

Because the revised code of canon law is not explicit on this point, some drew the mistaken conclusion that the Church's prohibition of Freemasonry had been dropped. As a result of this confusion, shortly before the 1983 code was promulgated, the Sacred Congregation for the Doctrine of the Faith issued a statement indicating that the penalty was still in force. This statement was dated November 26, 1983 and may be found in Origins 13/27 (Nov. 15, 1983), 450.


 
Eiyer,

Mkuu,

Asante, kuna hadithi kuwa hapo mwanzo siku ilikuwa na masaa 12. Hivyo mchana na Usiku zilikuwa ni siku mbili tafauti' Mpaka Nimrod alipobadilisha.

Ni kitabu gani ama source gani inaelezea habar za Nimrod kwa ufasaha zaidi?

Semiramis kwann wanasema alikuwa Mama yake Nimrod? Wakat nikisoma naona walikutana kwenye danguro la Semiramis?
 
Mkuu,

Asante, kuna hadithi kuwa hapo mwanzo siku ilikuwa na masaa 12. Hivyo mchana na Usiku zilikuwa ni siku mbili tafauti' Mpaka Nimrod alipobadilisha.
Suala la siku kuwa ni masaa mangapi au ni baada ya muda gani hilo ni suala la Mungu zaidi kwakuwa kwenye Mwanzo Mungu alisema "ikawa jioni ikawa aubuhi siku ya kwanza",kuanzia hapo tunaweza kuona kuwa siku moja ni pamoja na usiku na mchana na sio kinyume chake

Na kwakuwa ni hivyo basi siku ni masaa 24 na sio chini au zaidi ya hapo,Nimrod hakufanya hili bali lilianzia kwa Mungu mwenyewe
Ni kitabu gani ama source gani inaelezea habar za Nimrod kwa ufasaha zaidi?
Hakuna kitabu kimoja ambacho ni authentic kinachomzungumzia huyu jamaa,ili uweze kujua angalau kwa uwezo wako kuhusiana na Nimrod ni kutafiti kutoka zaidi ya chanzo kimoja na utaweza kufikia tamati kutokana na uwezo wako wa kutafakari mambo kuwa Nimrod alifanya hiki au kile

Nimrod hajaelezwa sana kwenye biblia kuwa lifanya nini bali kwakuwa yeye ndie founder wa Babel na babel inajulikana kwa imani yake basi kuanzia hapo anajulikana kuwa ni mwanzilishi wa imani hiyo ya kipagani

Kwenye biblia anaelezwa Tamuz ambae alikuja kujulikana ni mtoto wa Nimrod

Semiramis ametajwa kwenye Biblia kama Diana
Semiramis kwann wanasema alikuwa Mama yake Nimrod? Wakat nikisoma naona walikutana kwenye danguro la Semiramis?
Habari za Semiramis ziko tofauti kulingana na chanzo unachokisoma,kwa mujibu wa vyanzo nilivyovisoma mimi vinaniambia kuwa huyu alikuwa ni mama yake na baadae alikuja kuwa mkewe,hilo sina uhakika nalo kama vile ambavyo sina uhakika na mengine ambayo yanamhusu huyu mwanamke

Kufuatilia sana kutakuja kukufikisha mahali utaujua ukweli,endelea tu usichoke!
 



Eiyer angalia na haya maelezo
Nimrodi aliunda mfumo wa Ibada ya Udanganyifu na akawa mfalme wa kwanza Muasi. Nimrodi alioa msichana aliyeitwa Semerimus ambaye alimzaa mtoto wa kiume aliyeitwa Tamuzi. Nimrodi akamfanya mkewe kuwa kuhani mkuu. Huyo mama na mtoto wakawa ndiyo miungu ya kuabudiwa huko Babiloni. Kilichongwa kitu kama sanamu ya mwanamke aliyebeba mtoto ikawa alama ya Mungu wao. Mwanamke huyu akapewa jina Malkia wa Mbinguni.

Mtindo huu wa kumwabudu mwanamke na mtoto wake ulienea hadi Israel. Wakati wa nabii Yeremia, Waisrael walikuwa wamezama katika dimbwi la kuabudu kwa namna hii. Yeremia alipowaeleza jinsi BWANA alivyokusudia kuwaadhibu kwa sababu ya kufuata miungu mingine, Waisrael hawa walikataa.

Yeremia 44:15-17
15. Ndipo watu wote waliojua ya kuwa wake zao waliwafukizia uvumba miungu mingine, na wanawake wote waliosimama karibu, mkutano mkubwa, yaani, watu wote waliokaa katika nchi ya Misri, katika Pathrosi, wakamjibu Yeremia, wakisema,

16. Neno lile ulilotuambia kwa jina la Bwana, sisi hatutakusikiliza.

17. Lakini bila shaka tutalitimiza kila neno lililotoka katika vinywa vyetu, kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, kama tulivyotenda sisi, na baba zetu, na wafalme wetu, na wakuu wetu, katika miji ya Yuda, na katika njia kuu za Yerusalemu; maana wakati huo tulikuwa na chakula tele, na kufanikiwa, wala hatukuona mabaya.

Katika kitabu cha Ezekiel, twasoma kuwa ibada hii ya malkia wa mbinguni iliingia mpaka katika hekalu ya Yerusalem. Mungu alimuonyesha Ezekiel machukizo hayo hekaluni ambako aliwaona wanawake wameketi wakimlilia Tamuzi mtoto wa Nimrodi

Ezekiel 8:14 Ndipo akanileta mpaka mlango wa kuingilia katika nyumba ya Bwana, ulioelekea upande wa kaskazini, na tazama, wanawake wameketi wakimlilia Tamuzi.

Imani hii ya mwanamke na mtoto wake iliendelea mpaka wakati wa dola ya Rumi. Wakati makaisari wa Rumi wakitawazwa, walipewa jina PONTIFEX MAXIMUS yaani Kuhani Mkuu. Kaisari akiwa mfalme wa Rumi na Kuhani mkuu alitawala mfumo wa ibada ya mama na mtoto wake, ambayo watu walilazimika kuheshimu na kushiriki maandazi ya moto, mayai ya pasaka na mti ulioletwa wakati wa baridi tarehe aliyozaliwa Tamuzi mtoto wa Nimrodi na makafara mengine mengi.

Constantine alipotawala Rumi katika mwaka 312 AD alitangaza kuwa Dini ya Kikristo ni dini ya dola ya Rumiyote na watu wote katika dola hiyo ni wakristo

Harakati hizi za Constantine kujenga kanisa la Kikristo la Rumi ziliunganisha Ukristo na Ibada ya Wababiloni. Baadaye watu hawa wa Rumi wakaona heri wamwabudu Mariamu mama wa Mwokozi wetu Yesu Kristo kuliko kumwabudu Malkia wa Mbinguni wa Babiloni na mtoto wake Tamuzi.
 
Last edited by a moderator:
Haya maelezo yana ukweli mwingi

Hapa naweza kusema ibada ya mwanamke ni ileile kwakuwa hata alama ya mwanamke aliyebeba mtoto au sanamu hiyo ni ile ile na hata desturi za kuvaa kofia wa makuhani pamoja na taratibu za ibada zinafanana!
 
Mkuu wa chuo,

Mkuu,

Huu mti ndio mti chritsmass? Kuna namna inafanya niwaze huende tar 25 ndio tarehe alozaliwa TAMUZ, maana nashindwa elewa ilipatikana vipi hii tar? Ama ilipangwa na Roma?

Vipi boxing day?

Kuna mambo mengi ya kipagani yameingizwa ktk imani ya Ukristo.

Hebu nisaidie hayo machache kwanza tafadhali.
 
Last edited by a moderator:

Upo sahihi sana mkuu ingawa hapo kwa RED kwa wakristo wa sasa wakikusoma wanaweza kuendelea na conclusion ile ile wanayoimbiwa kila siku ya Wakatoliki kumuabudu Mariamu........

Lakini pia soma hii kitu uone pia ili uone pia wakati gani Kanisa lilipomtambulisha kama Malkia wa Mbingu in relation to Babiloni concept...............

The beginning of the concept that Mary is a Queen is found in the annunciation narrative. For the angel tells her that her Son will be King over the house of Jacob forever. So she, His Mother, would be a Queen.

The Fathers of the Church soon picked up these implications. A text probably coming from Origen (died c. 254: cf. Marian Studies 4, 1953, 87) gives her the title domina, the feminine form of Latin dominus, Lord. That same title also appears in many other early writers, e.g. , St. Ephrem, St. Jerome, St. Peter Chrysologus (cf. Marian Studies 4. 87-91). The word "Queen" appears abut the sixth century, and is common thereafter (Marian Studies, 4, 91-94).

The titles "king" and "queen" are often used loosely, for those beings that excel in some way. Thus we call the lion the king of beasts, the rose the queen of flowers. Surely Our Lady deserves the title richly for such reasons. But there is much more.

Some inadequate reasons have been suggested: She is the daughter of David. But not every child of a king becomes a king or queen. Others have pointed out that she was free from original sin. Then, since Adam and Eve had a dominion over all things (Genesis 1. 26) she should have similar dominion. But the problem is that the royalty of Adam and Eve was largely metaphorical.

The solidly theological reasons for her title of Queen are expressed splendidly by Pius XII, in his Radiomessage to Fatima, Bendito seja (AAS 38. 266): "He, the Son of God, reflects on His heavenly Mother the glory, the majesty and the dominion of His kingship, for, having been associated to the King of Martyrs in the unspeakable work of human Redemption as Mother and cooperator, she remains forever associated to Him, with a practically unlimited power, in the distribution of the graces which flow from the Redemption.

Jesus is King throughout all eternity by nature and by right of conquest: through Him, with Him, and subordinate to Him, Mary is Queen by grace, by divine relationship, by right of conquest, and by singular choice [of the Father]. And her kingdom is as vast as that of her Son and God, since nothing is excluded from her dominion."

We notice that there are two titles for the kingship of Christ: divine nature, and "right of conquest", i.e., the Redemption. She is Queen "through Him, with Him, and subordinate to Him." The qualifications are obvious, and need no explanation. Her Queenship is basically a sharing in the royalty of her Son. We do not think of two powers, one infinite, the other finite. No, she and her Son are inseparable, and operate as a unit.

Of the four titles Pius XII gave for her Queenship, we notice that two are closely parallel to those of Jesus:
(1) He is king by nature, as God; she is Queen by "divine relationship" that is, by being the Mother of God. In fact her relation to her Son is greater than that of ordinary Mothers of Kings. For she is the Mother of Him who is King by very nature, from all eternity, and the relationship is exclusive, for He had no human father. Still further, the ordinary queen-mother gives birth to a child who later will become king. The son of Mary is, as we said, eternally king, by His very nature.

(2) He is king by right of conquest. She too is Queen by right of conquest. We already saw that this title for Him means that He redeemed us from the captivity of satan. She shared in the struggle and victory. Since the Pope expressed her dependence on Him in a threefold way--something we would have known anyway--then it is clear that he did not have in mind any other restriction which he did not express. So, maintaining this subordination, "by right of conquest" means the same for her as it does for Him.

The other two titles

(3) She is Queen by grace. She is full of grace, the highest in the category of grace besides her Son.

(4) She is Queen by singular choice of the Father. A mere human can become King or Queen by choice of the people. How much greater a title is the choice of the Father Himself!

Pius XII added that "nothing is excluded from her dominion." As Mediatrix of all graces, who shared in earning all graces, she is, as Benedict XV said, "Suppliant omnipotence": she, united with her Son, can obtain by her intercession anything that the all-powerful God can do by His own inherent power.
In the Old Testament, under some Davidic kings, the gebirah, the "Great Lady", usually the Mother of the King, held great power as advocate with the king. Cf. 1 Kings 2:20, where Solomon said to his Mother Bathsheba, seated on a throne at his right: "Make your request, Mother, for I will not refuse you." Here is a sort of type of Our Lady.
 
Mkuu,

Huu mti ndio mti chritsmass?
Kutokana na maelezo ya Eiyer uki compare na hayo ya kwangu, inavyoonekana ndio wenyewe...
Kuna namna inafanya niwaze huende tar 25 ndio tarehe alozaliwa TAMUZ, maana nashindwa elewa ilipatikana vipi hii tar?
Hayo maelezo yako yanawezekana pia yakawa na ukweli maana vyanzo vingi vinasema hivyo...
Ama ilipangwa na Roma?
Yeah, ilikuja pia kutumika na Roma na mfalme Constantine mfalme wa kwanza wa Kirumi aliyekuwa Mkristo na inasemekana kusherekewa kwa mara ya kwanza ilikuwa Desemba 25, mwaka 336 AD, Ambapo baada ya miaka michache Papa Julius I akaiweka ndio wanasema officialy ikawa siku ya kusherekea kuzaliwa kwa Yesu

Vipi boxing day?
Boxing day ni siku inayofuatia baada ya Christmas, ni siku ya kufungua zawadi kama jina lisemavyo... Lakini ngojea tuje tuchimbe zaidi kuijua kwa undani

Kuna mambo mengi ya kipagani yameingizwa ktk imani ya Ukristo.
Hebu nisaidie hayo machache kwanza tafadhali.
Inawezekana kwa hilo pia kukawa na ukweli...
 
Mkuu wa chuo,


Kwa faida Zaidi ya wengi Waweza kwenda mbali Zaidi ktk maelezo yako ya hao Watu waliokua wakimwabudu TAMMUZ walikua wakiamini nini Zaidi Mkuu?
 
Last edited by a moderator:
Kwa faida Zaidi ya wengi Waweza kwenda mbali Zaidi ktk maelezo yako ya hao Watu waliokua wakimwabudu TAMMUZ walikua wakiamini nini Zaidi Mkuu?
Hapo sijalipata swali lako vizuri mkuu, Ila hawa watu waliokuwa wakimuabudu Tammuz waliamini katika Miungu mitatu yaani Mungu Jua, Mungu Mwezi na Mungu Nyota ambapo Mungu jua ni Nimrod, Mungu mwezi ni Semerimus na Mungu Nyota ni Tammuz ilikuwa ni ibada ya kipagani ila ilifuata ile trend kama ya Utatu mtakatifu yaani kwa kifupi naweza kusema waliufananisha utatu mtakatifu na miungu yao

2 Wafalme 23:5 Akawaondosha wale makuhuni walioabudu sanamu, ambao wafalme wa Yuda waliwaweka ili kufukiza uvumba katika mahali pa juu, ndani ya miji ya Yuda, na katika kila mahali, pande zote za Yerusalemu; na hao pia waliomfukizia uvumba Baali, na jua, na mwezi, na sayari, na jeshi lote la mbinguni.

Nimekuwekea huo mstari kuonyesha hayo mambo Waisrael walirithi kutoka Babeli
 

Ukipata nafasi tafuta project moja ya jamaa wawili wanajiita A noreagaa & Archenahr Production, Project yao inaitwa THE ARRIVALS, ni kama series hivi ina episode 51, Nadhani itajifunye vizuri hao jamii ni nani haswaa!
 
Ukipata nafasi tafuta project moja ya jamaa wawili wanajiita A noreagaa & Archenahr Production, Project yao inaitwa THE ARRIVALS, ni kama series hivi ina episode 51, Nadhani itajifunye vizuri hao jamii ni nani haswaa!



Niko nazo hizo SERIES za hao jamaa wamegusia mambo mengi sn Yani kila kitu Lkn Bado hawajafika ktk lengo lenyewe haswa!
 
Nilitaka uelezee Zaidi tu Mkuu juu ya swala la Imani ZA BABELI Na Tammuz kwa faida Zaidi ya Watu!

Hayo machache uko sawa!

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…