Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,848
Mbona wameandika mkuu, soma tangazo wanasema unlimited ku-surf, sasa sijuwi kama kuna mtu anahitaji kitu kama hicho.
Unlimited downloading inawezekana kabisa, kipindi fulani airtel walikuwa nayo kwa sh 200 tu na ilikuwa 24hrs yaani mchana na hata usiku, baadaye Vodacom kupitia wajanja night offer kwa sh 200 pia ulikuwa una download utakavyo ila usiku tu ambayo kwa sasa wamebadili kwanza wamepandisha bei ni sh 500 na wamelimit to 1gb
basi niwendawazimu hawa watu, hivi wanafikiri watanzania wote tunatumia internet kusurf!? Na hivi vifurushi vya bundle tunavitumiaje!?