Asante kwa ushauri wako mzuri.... Wacha ni songe mbele nisibishane na mtu anaetumia makalio kufikiria!pole,tuache na upuuzi wetu...tafadhali songa huko mbele.....!
Asante kwa ushauri wako mzuri.... Wacha ni songe mbele nisibishane na mtu anaetumia makalio kufikiria!
nigeria men
watakuwa wamesha kunanihi.sio bure
huna bikira zote by now lol
Hahahahahahah! lol! I love JF! Why did you go there BOSS!? hahahahaha
are the most handsome men in Africa!...i mean in the whole wide world!!!!!mweh! embu cheki View attachment 30875
mghana huyu sio mpopoI feel wapo very manipulative hao naija men!!!
However, this guy is hot!!...Oohh!!Van Vicker
sasa huyo ana tofauti gani
na ma half cast wa bongo?
mfano p funk na wengineo?
twawaongelea wapopo wajameni,mwaga masifa
mghana huyu sio mpopo
Van Vicker ni robo Mghana robo liberia, half Dutch
. Waghana wanawake kwa wanaume ni wapole (wana haya) ila wanaume wabaya, most of them ni vifupi; including Van Vicker.
Afu hawana vichogo, vichwa kama vimepigwa pasi nyuma.
kweli kabisa Waghana wapole sana na wana huruma...ila hawana mvuto sijui kwa nini!!!Van Vicker ni robo Mghana robo liberia, half Dutch
. Waghana wanawake kwa wanaume ni wapole (wana haya) ila wanaume wabaya, most of them ni vifupi; including Van Vicker.
Afu hawana vichogo, vichwa kama vimepigwa pasi nyuma.