Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,024
- 1,618
Wakati Nigeria ikipitia changamoto kadhaa za kiuchumi ikiwemo gharama za maisha zilizopelekea kuongezeka kwa gharama za maisha, Wananchi wameshangazwa na Msafara wa Rais #BolaTinubu, wa Magari 120 alipokuwa akirejea kutoka Uingereza kwa ajili ya Sikukuu ya Eid al-Adha
Mamia ya magari ya SUV, mabasi ya kifahari yakisindikizwa na wanajeshi yaliendesha kwenye barabara zilizofungwa, kumruhusu Rais huyo kufika nyumbani kwake Jijini Lagos
......
Tinubu's 100-vehicle Lagos convoy raises eyebrows
Eyebrows were raised in the Nigerian city of Lagos at the grand arrival in the city on Tuesday evening of President Bola Tinubu.
Witnesses said the country's new leader was accompanied by more than 100 vehicles on his return from Britain for the Muslim holiday of Eid al-Adha.
Dozens of SUVs accompanied by military escorts drove along closed-off roads, with video of the cavalcade posted online.
Mr Tinubu flew into Lagos in his Gulfstream jet
Source: BBC
Mamia ya magari ya SUV, mabasi ya kifahari yakisindikizwa na wanajeshi yaliendesha kwenye barabara zilizofungwa, kumruhusu Rais huyo kufika nyumbani kwake Jijini Lagos
Tinubu's 100-vehicle Lagos convoy raises eyebrows
Eyebrows were raised in the Nigerian city of Lagos at the grand arrival in the city on Tuesday evening of President Bola Tinubu.
Witnesses said the country's new leader was accompanied by more than 100 vehicles on his return from Britain for the Muslim holiday of Eid al-Adha.
Dozens of SUVs accompanied by military escorts drove along closed-off roads, with video of the cavalcade posted online.
Mr Tinubu flew into Lagos in his Gulfstream jet
Source: BBC