mkumbwa junior
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 808
- 1,542
#FAHAMU Mwanaume mmoja nchini Nigeria mwenye umri wa miaka 42 anapambania kuokoa maisha yake baada ya kuzikata sehemu zake za siri na kisu ndotoni, baada ya kuota anachinja mbuzi kwa ajili ya kumsaidia mke wake kuandaa chakula cha jioni.
#EastAfricaRadio
#EastAfricaRadio