Nifunzeni jinsi ya ku'post'

mwitaz

JF-Expert Member
Feb 19, 2012
315
93
Kwa kweli nina hoja na mambo mengi ya kupost katika JF ila sioni sehemu ya kupost!
Is it because am using a phone or what is the problem?
 

Attachments

  • Convicts.gif
    Convicts.gif
    32.6 KB · Views: 85
unataka kupost nini....?kuna forums mbalimbali.....click kwenye home then utachagua jukwaa unalotaka kulingana na hoja yako.....
 
mkuu post kama ulivyo post. halafu hiyo picha inahusiana nini na mambo ya jf?
 
hapa umefanyaje ukapost?

Umeme umekatika ghafla , nyumba yote iko gizani hatuonani !
Sasa nisubirini niwashe Mshumaa, ukishawaka na tukianza kuona, mnifahamishe kazi ya Mshumaa ni nini?
Swali kama hilo lina tofauti gani la mtoa mada ? Au hajui kwa nini hajui ?
Unauliza watu hutafunaje na una andazi mdomoni ?
Kongosho najua uko karibu na watawala si washauri Member type hii (mtoa mada) watengewe kajukwaa kao
 
Mwita25 bana!

Unajifanya mgeni ila mwandiko wako unakuumbua!

Shem za J'2 ? Alafu inakuaje Shem hata salaamu ?
Haya nimekusamehe in advance, nakuuliza hivi, kumbe kuna viashiria vya kutambua handwritin' ?
Hebu nitonye (not your husb) nitonye ile ya nipashe bt kwa pm , ukinitonyea public wahusika utawapa warmap.
 
Shem za J'2 ? Alafu inakuaje Shem hata salaamu ?
Haya nimekusamehe in advance, nakuuliza hivi, kumbe kuna viashiria vya kutambua handwritin' ?
Hebu nitonye (not your husb) nitonye ile ya nipashe bt kwa pm , ukinitonyea public wahusika utawapa warmap.

Mambo ya PM sio mazuri vipi shemeji yangu Husninyo hajambo?
 
Mambo ya PM sio mazuri vipi shemeji yangu Husninyo hajambo?

Nitty acha preasure! Si unajua raha ya kuitwa " Mume wa mtu" ?
Husny yuko poa! Yuko jikoni, nimemuacha anakaanga samaki, J'2 hua hakubali beki3 kuingia kitchen.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom