Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nnamashaka wewe ni mwita25 umekuja kivingine
mkuu post kama ulivyo post. halafu hiyo picha inahusiana nini na mambo ya jf?
hapa umefanyaje ukapost?
Mwita25 bana!
Unajifanya mgeni ila mwandiko wako unakuumbua!
Karanga za sh.50 bei gani?
Shem za J'2 ? Alafu inakuaje Shem hata salaamu ?
Haya nimekusamehe in advance, nakuuliza hivi, kumbe kuna viashiria vya kutambua handwritin' ?
Hebu nitonye (not your husb) nitonye ile ya nipashe bt kwa pm , ukinitonyea public wahusika utawapa warmap.
Mambo ya PM sio mazuri vipi shemeji yangu Husninyo hajambo?