Qaymo moja
Senior Member
- Sep 1, 2017
- 133
- 53
Naomba kupewa ushirikiano hapa.
Naona style mpya ambayo risala na wasifu wa marehemu huandikwa na kusomwa mbele ya umma msibani tofauti na tulivyozoea.
Hili nimeliona ndani ya kanisa Katoliki walivyonilazimisha kuandika upya kwa ile risala niliyoandaa ya siku zote. Wao wameniambia nifute neno marehemu katika risala mwanzo mwisho.
Wajuzi wa lugha mje hapa.
By mtafuta ukweli.
Naona style mpya ambayo risala na wasifu wa marehemu huandikwa na kusomwa mbele ya umma msibani tofauti na tulivyozoea.
Hili nimeliona ndani ya kanisa Katoliki walivyonilazimisha kuandika upya kwa ile risala niliyoandaa ya siku zote. Wao wameniambia nifute neno marehemu katika risala mwanzo mwisho.
Wajuzi wa lugha mje hapa.
By mtafuta ukweli.