Kaka, Ulisema hari mpya nguvu mpya na kasi mpya kaka, kwetu ni bala kasi yako hatuiwezi. Kaka kasi yako ni kali mno nadhani zaidi ya speed 220Km/H.
Kaka ulisema hali ya maisha itakuwa good kwa vijana na ile ahadi ya ajira 1m kwa mwaka. Hilo ni balaa yaani umetugeuka hata hizi ajira 40 kwa mwaka nazo unakaba? Kaka kufika 55yrs ni balaa. Sheria ndio inataka hivyo ila kwanini msituandae na kutushirikisha wafanyakazi wenyewe? Kwani zile hela zenu kaka?
Kaka hivi ni kweli huijui Richmond mbona we ndo kila kitu hapa bongo. Ukiamua hata mimi nisiende toilet kweli naweza nisiende ndani ya mins tu. Tuambie basi wale ni kina nani vile?
Vipi kuhusu wale mafisadi na siku 90 mulizowapa? Wadogo zenu tunasubiria kuona action mpaka leo picha halinogi. Hafi Jambazi kuu wala steringi picha la kihindi afadhali. Kule migodini mbona hali ni Mbaya sana wakati kila siku ndege zinakwenda south direct kutoka migodini. Kusoma sijui kabisa ila pale nadhani picha naiona kwani mungu kanijaalia macho.
Ile mikataba ya gesi mbona tunaisikia juu juu tu. Sio Richmond nyingine kweli? Mbona hatuwekani wazi jamani wakati sisi ndugu mmoja?
Kaka watu wanapiga si mchezo. Eti wanasema we dhaifu hata ukigundua utawachekea na kuwahamisha vituo. Huku TRA ni balaa hela mbele rushwa kama kanuni. Kule THA ndio kabisa, tunauza magari yetu pale pale port. Halmashauri ndio kabisa hata mawizarani ndio usiseme.
Nadhani yapo mengi ila kaka BIBI yangu na Shangazi hapa kwetu Pangani wanashukuru mungu kwa kuwapatia mti wa mhogo kuliko WEWE kaka. Yaani asubuhi uji wa muhogo na muhogo, saa kumi na mbili ni ugali wa muhogo na kisamvu cha chumvi hio ndio mpaka kesho tena. Msaidie basi kidogo japo ale maharage? Ila bibi anakumbuka kuwa alikupa KURA yake na sasa analaani kwani hata kwenda mjini hawezi tena nauli hana. Sio kama anafanya kazi hapana ila ungempatia ile VOUCHER ya mbolea akalima kidogo ingemsaidia. Sasa zile voucher washkaji zako wamepiga na msemo wao kuwa huwezi kuwafanya lolote wewe ni DHAIFU…
My Take:-Najua hupitagi hapa JF ila najua wewe rafiki yake unaesoma hii kitu utamwelekeza japo kidogo aachie maana tait mno.
Kaka ulisema hali ya maisha itakuwa good kwa vijana na ile ahadi ya ajira 1m kwa mwaka. Hilo ni balaa yaani umetugeuka hata hizi ajira 40 kwa mwaka nazo unakaba? Kaka kufika 55yrs ni balaa. Sheria ndio inataka hivyo ila kwanini msituandae na kutushirikisha wafanyakazi wenyewe? Kwani zile hela zenu kaka?
Kaka hivi ni kweli huijui Richmond mbona we ndo kila kitu hapa bongo. Ukiamua hata mimi nisiende toilet kweli naweza nisiende ndani ya mins tu. Tuambie basi wale ni kina nani vile?
Vipi kuhusu wale mafisadi na siku 90 mulizowapa? Wadogo zenu tunasubiria kuona action mpaka leo picha halinogi. Hafi Jambazi kuu wala steringi picha la kihindi afadhali. Kule migodini mbona hali ni Mbaya sana wakati kila siku ndege zinakwenda south direct kutoka migodini. Kusoma sijui kabisa ila pale nadhani picha naiona kwani mungu kanijaalia macho.
Ile mikataba ya gesi mbona tunaisikia juu juu tu. Sio Richmond nyingine kweli? Mbona hatuwekani wazi jamani wakati sisi ndugu mmoja?
Kaka watu wanapiga si mchezo. Eti wanasema we dhaifu hata ukigundua utawachekea na kuwahamisha vituo. Huku TRA ni balaa hela mbele rushwa kama kanuni. Kule THA ndio kabisa, tunauza magari yetu pale pale port. Halmashauri ndio kabisa hata mawizarani ndio usiseme.
Nadhani yapo mengi ila kaka BIBI yangu na Shangazi hapa kwetu Pangani wanashukuru mungu kwa kuwapatia mti wa mhogo kuliko WEWE kaka. Yaani asubuhi uji wa muhogo na muhogo, saa kumi na mbili ni ugali wa muhogo na kisamvu cha chumvi hio ndio mpaka kesho tena. Msaidie basi kidogo japo ale maharage? Ila bibi anakumbuka kuwa alikupa KURA yake na sasa analaani kwani hata kwenda mjini hawezi tena nauli hana. Sio kama anafanya kazi hapana ila ungempatia ile VOUCHER ya mbolea akalima kidogo ingemsaidia. Sasa zile voucher washkaji zako wamepiga na msemo wao kuwa huwezi kuwafanya lolote wewe ni DHAIFU…
My Take:-Najua hupitagi hapa JF ila najua wewe rafiki yake unaesoma hii kitu utamwelekeza japo kidogo aachie maana tait mno.