- Thread starter
- #21
Mchukue mama uishi nae....afu sitisha huduma zote kwa hao watoto...kama wana uwezo wa kumtukana mama kiasi hicho basi wana uwezo wa kujipatia huduma zote muhimu.....na na huyo konikodi wa matusi ndo awahudumie wadogo zake.....mpaka akili itakapomkaa sawa na atakapojua umuhimu wako na huyo mama....
Ahsante kwa ushauri. Unamaanisha hata huyu aliyeko Diploma nimwache arudi nyumbani na wengine Sekondari wasitishe shule??