Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
Habari zenu wapendwa?
Nimepata ajira mpya katika kampuni flani kitengo cha masoko (marketing) kama mjuavyo marketing inahitaji mtu uzunguke sana ukutane na watu sana... nimeanza kupata appointment na watu mbali mbakli wengine hunialika lunch ili tukanegotiate biashara... shida inakuja kwa mpenzi wangu hanielewi kabisa kisikia kuwa nakwenda lunch na mtu flani hasa mwanaume kwa ajili ya kunegotiate biashara anahisi kama hwua kuna mengine zaidi. Mimi kwa upande wangu hwua hakuna cha zaidi isipokuwa ni biashara tu. na iliwahi kutokea kuwa mbaba mmoja alinihaidi kunipa tender flani ila kigezo atoke na mimi. nilikataa na biashara iliishia hapo.
huwa napata wakati mgumu sana katika kufanya marketing ukizingatia mimi ni msichana. naomba ushauri nii-face vipi hii situation pia nimuelewesheje mpenzi wangu anielewe kuwa mimi nipo kikazi na sio vinginevyo? je wadada wenzangu halii hii imeshawakuta? mlii-solve vp?
Asanteni na karibuni kwa michango na ushauri pia.
Nimepata ajira mpya katika kampuni flani kitengo cha masoko (marketing) kama mjuavyo marketing inahitaji mtu uzunguke sana ukutane na watu sana... nimeanza kupata appointment na watu mbali mbakli wengine hunialika lunch ili tukanegotiate biashara... shida inakuja kwa mpenzi wangu hanielewi kabisa kisikia kuwa nakwenda lunch na mtu flani hasa mwanaume kwa ajili ya kunegotiate biashara anahisi kama hwua kuna mengine zaidi. Mimi kwa upande wangu hwua hakuna cha zaidi isipokuwa ni biashara tu. na iliwahi kutokea kuwa mbaba mmoja alinihaidi kunipa tender flani ila kigezo atoke na mimi. nilikataa na biashara iliishia hapo.
huwa napata wakati mgumu sana katika kufanya marketing ukizingatia mimi ni msichana. naomba ushauri nii-face vipi hii situation pia nimuelewesheje mpenzi wangu anielewe kuwa mimi nipo kikazi na sio vinginevyo? je wadada wenzangu halii hii imeshawakuta? mlii-solve vp?
Asanteni na karibuni kwa michango na ushauri pia.