Nifanyeje?

Nyakwaratony

JF-Expert Member
Dec 21, 2011
573
140
Habari zenu wapendwa?

Nimepata ajira mpya katika kampuni flani kitengo cha masoko (marketing) kama mjuavyo marketing inahitaji mtu uzunguke sana ukutane na watu sana... nimeanza kupata appointment na watu mbali mbakli wengine hunialika lunch ili tukanegotiate biashara... shida inakuja kwa mpenzi wangu hanielewi kabisa kisikia kuwa nakwenda lunch na mtu flani hasa mwanaume kwa ajili ya kunegotiate biashara anahisi kama hwua kuna mengine zaidi. Mimi kwa upande wangu hwua hakuna cha zaidi isipokuwa ni biashara tu. na iliwahi kutokea kuwa mbaba mmoja alinihaidi kunipa tender flani ila kigezo atoke na mimi. nilikataa na biashara iliishia hapo.

huwa napata wakati mgumu sana katika kufanya marketing ukizingatia mimi ni msichana. naomba ushauri nii-face vipi hii situation pia nimuelewesheje mpenzi wangu anielewe kuwa mimi nipo kikazi na sio vinginevyo? je wadada wenzangu halii hii imeshawakuta? mlii-solve vp?

Asanteni na karibuni kwa michango na ushauri pia.
 
Msaidie mwenzio akuamini halafu maisha yataendelea. Mfano, usifanye siri mikutano yako. Kama ana nafasi mkaribishe akusindikize, anaweza kuzurura ama kupata kinywaji pembeni wakati wewe unaendelea na shughuli zako. Akikuamini na kujijengea confidence kwako basi atakuacha hata hamu ya kukusindikiza itamuisha.

Muache akuonee wivu bana, si anakupenda. Wenzio hawaulizwi hata habari za kazi!
 
Just stay true to your relationship and job...kama ni wako atajaelewa tu kwamba ndio kazi yako.
Asipoelewa basi breakup is inevitable..Kwa sababu suppose umeunia ukawa na kovu sehemu fulani na yeye hapendi obviously mtaachana because there is nothing you can do about it
 
Msaidie mwenzio akuamini halafu maisha yataendelea. Mfano, usifanye siri mikutano yako. Kama ana nafasi mkaribishe akusindikize, anaweza kuzurura ama kupata kinywaji pembeni wakati wewe unaendelea na shughuli zako. Akikuamini na kujijengea confidence kwako basi atakuacha hata hamu ya kukusindikiza itamuisha.

Muache akuonee wivu bana, si anakupenda. Wenzio hawaulizwi hata habari za kazi!

dah hapo kwenye red pamenichekesha sana , uwiiii sasa kama uko busy na kazi huo muda wa kuuliza unatoka wapi , huyo jamaa atakuwa chizi wivu gani wakijinga kama vp mpige chini wewe upige kazi
 
Habari zenu wapendwa?

Nimepata ajira mpya katika kampuni flani kitengo cha masoko (marketing) kama mjuavyo marketing inahitaji mtu uzunguke sana ukutane na watu sana... nimeanza kupata appointment na watu mbali mbakli wengine hunialika lunch ili tukanegotiate biashara... shida inakuja kwa mpenzi wangu hanielewi kabisa kisikia kuwa nakwenda lunch na mtu flani hasa mwanaume kwa ajili ya kunegotiate biashara anahisi kama hwua kuna mengine zaidi. Mimi kwa upande wangu hwua hakuna cha zaidi isipokuwa ni biashara tu. na iliwahi kutokea kuwa mbaba mmoja alinihaidi kunipa tender flani ila kigezo atoke na mimi. nilikataa na biashara iliishia hapo.

huwa napata wakati mgumu sana katika kufanya marketing ukizingatia mimi ni msichana. naomba ushauri nii-face vipi hii situation pia nimuelewesheje mpenzi wangu anielewe kuwa mimi nipo kikazi na sio vinginevyo? je wadada wenzangu halii hii imeshawakuta? mlii-solve vp?

Asanteni na karibuni kwa michango na ushauri pia.

Kazi ndio kila kitu chako ndugu yangu, mwanaume ni mtu wa kupita tu umekutana nae, kama hanashindwa kukuelewa, mpige chini atapata somo.
Caution: Jaribu kuchunguza mwenendo wake kwani hawezi kukudhania kwa kitu kama hiki kama yeye hakifanyi.
 
Mueleze akuelewe! Kwanini ajiamini?
Jaribu kumfundisha mtu wako kujiamini!
 
Habari zenu wapendwa?

Nimepata ajira mpya katika kampuni flani kitengo cha masoko (marketing) kama mjuavyo marketing inahitaji mtu uzunguke sana ukutane na watu sana... nimeanza kupata appointment na watu mbali mbakli wengine hunialika lunch ili tukanegotiate biashara... shida inakuja kwa mpenzi wangu hanielewi kabisa kisikia kuwa nakwenda lunch na mtu flani hasa mwanaume kwa ajili ya kunegotiate biashara anahisi kama hwua kuna mengine zaidi. Mimi kwa upande wangu hwua hakuna cha zaidi isipokuwa ni biashara tu. na iliwahi kutokea kuwa mbaba mmoja alinihaidi kunipa tender flani ila kigezo atoke na mimi. nilikataa na biashara iliishia hapo.

huwa napata wakati mgumu sana katika kufanya marketing ukizingatia mimi ni msichana. naomba ushauri nii-face vipi hii situation pia nimuelewesheje mpenzi wangu anielewe kuwa mimi nipo kikazi na sio vinginevyo? je wadada wenzangu halii hii imeshawakuta? mlii-solve vp?

Asanteni na karibuni kwa michango na ushauri pia.


Endelea kumueleza na kumsisitizia kuwa kazi ndiyo inakulazimu kuwa unatoka mara kwa mara na si mapenzi yako. Na akumbuke kuwa kazi ndiyo inakuweka mjini, bila kazi unakuwa si mtu si lolote!

Lakini na wewe upunguze kwani lazima negotiation zote zifanyike wakati wa lunch? Wewe au huyo unaye negotiate naye hana ofisi? Hakuna sehemu nyingine yeyote isiyo na mashaka ambayo mnaweza kuitumia kwa negotiation?
Angalia, wasije hao jamaa wakaanza ku-negotiate na wewe vitu vingine, hizi lunch hizi zimewacost watu wengi sana. Take care!
 
Huu uzi umenikumbusha juzi kati nilikuwa naangalia movie ya Nigeria... ilikuwa na same story line kuhusu ma bank yanavyowatumia wadada kuwashawishi wenye pesa zao kufungua account na Bank zao. Nilifunguka macho na kujiuliza hii kwetu ipo? Sasa wewe umenihakikishia hilo.

Turudi kwenye mada

Wewe unaipenda hiyo kazi ya kualikwa lunch na wanaume kuongelea biashara? Je hao wanaume hawawezi kukutana na wewe kwenye ofisi zao? Kwa uelewa wangu wewe ndio mwenye shida kama marketia kama ni lunch you should be the one to offer not to be offered. Yani nime sense kama haya mashirika yanatumia wadada wazuri kuuza biashara zao

Hapa sitaki kuongelea huyo jamaa yako anawivu au hana... ila wewe unaipenda hiyo kazi? Kama ndio keep on hata kama jamaa ataamua kubwaga manyanga. Kama huipendi basi tafuta kazi nyingine.
 
Kwa kweli hata mimi hilo la kuzungumzia maswala ya kiofisi mahotelini limenitia shaka. Kuwa makini dada hao wenye pesa zao wana mitego mingi... Mwajiri anatumia usichana wako ku make money.

Endelea kumueleza na kumsisitizia kuwa kazi ndiyo inakulazimu kuwa unatoka mara kwa mara na si mapenzi yako. Na akumbuke kuwa kazi ndiyo inakuweka mjini, bila kazi unakuwa si mtu si lolote!

Lakini na wewe upunguze kwani lazima negotiation zote zifanyike wakati wa lunch? Wewe au huyo unaye negotiate naye hana ofisi? Hakuna sehemu nyingine yeyote isiyo na mashaka ambayo mnaweza kuitumia kwa negotiation?
Angalia, wasije hao jamaa wakaanza ku-negotiate na wewe vitu vingine, hizi lunch hizi zimewacost watu wengi sana. Take care!
 
Habari zenu wapendwa?

Nimepata ajira mpya katika kampuni flani kitengo cha masoko (marketing) kama mjuavyo marketing inahitaji mtu uzunguke sana ukutane na watu sana... nimeanza kupata appointment na watu mbali mbakli wengine hunialika lunch ili tukanegotiate biashara... shida inakuja kwa mpenzi wangu hanielewi kabisa kisikia kuwa nakwenda lunch na mtu flani hasa mwanaume kwa ajili ya kunegotiate biashara anahisi kama hwua kuna mengine zaidi. Mimi kwa upande wangu hwua hakuna cha zaidi isipokuwa ni biashara tu. na iliwahi kutokea kuwa mbaba mmoja alinihaidi kunipa tender flani ila kigezo atoke na mimi. nilikataa na biashara iliishia hapo.

huwa napata wakati mgumu sana katika kufanya marketing ukizingatia mimi ni msichana. naomba ushauri nii-face vipi hii situation pia nimuelewesheje mpenzi wangu anielewe kuwa mimi nipo kikazi na sio vinginevyo? je wadada wenzangu halii hii imeshawakuta? mlii-solve vp?

Asanteni na karibuni kwa michango na ushauri pia.

Nyakwaratony usihangaika kutak kusolve hiyo situation kwani haitasovika mawazoni mwa mwanaume. I'm a man, I know how this is frustrating. The reason tunakuwa hivi ni kwa sababu ya hapo kwa red, pia tunajijua tunavyojua kuwadanganya (ndo maana hayuko confortable kukuona una frequent meeting na wanaume), na mbaya zaidi tunaamini kwamba utawakataa tisa lakini wa kumi utamkubali (hope you know what I mean here).

Kifupi si suala la kutojiamini kama baadhi wanavyojaribu kusema, bali ni suala la perception and experience ya wanaume! Ndo maana nakushauri usitake kusolve hii hali coz its very difficult to change someone's perception. Cha kufanya, we jitahidi ku-prove kwake kuwa hiyo bold statement yangu hapo juu ni wrong.

Otherwise, I can foresee a tense relationship ahead you!
 
Huyo mwanaume wako ana wivu ndo sababu na hapo ndo udhaifu wake.

Ungekuwa mke wangu ninge kuruhusu tu ili na mimi nipate kuwa naongea na wanawake wengine kibiashara.
 
kwa mm ninachoona ni kwamba kama ww unahisi kuwa mtu akifanya hivyo kwako ni sawa basi endelea kufanya lakini kama m2 akikufanyia hivyo kwako hutofurahi basi usifanye
 
Kazi ndio kila kitu chako ndugu yangu, mwanaume ni mtu wa kupita tu umekutana nae, kama hanashindwa kukuelewa, mpige chini atapata somo.
Caution: Jaribu kuchunguza mwenendo wake kwani hawezi kukudhania kwa kitu kama hiki kama yeye hakifanyi.

Safi sana, napenda misimamo kama hii, kazi siku zote ni namba moja halafu mapenzi baadaye.
 
Oaneni,zaeni mtoto au watoto huo ndio utakuwa mwisho wa huo wivu,kwani atafanya wivu wakati anajua hapo ndio panapoletea watoto kula,kuvaa n.k.!hata mimi nilikuwa hivyo kabla sijawa na mtoto ila baada ya kuzaa sikujua hata huo wivu ulipotelea wapi,swala la vishawishi so long as you are a woman huta vikosa kwani men tumeumbwa na hiyo tamaa, muombe Mungu kila uendapo kazini atakupa nguvu utavishinda na hakuna kitakacho haribika.
 
dah, kazi za marketing zimekaa kimtego sana kwa akina dada... sometimes you have to go an extra mile to please and win the customer
 
Back
Top Bottom