ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,451
- 119,057
Naona nisokuwa na bwana ni mie tu loh!
wataka mume kwani? Mbona wako namjua..!!
Naona nisokuwa na bwana ni mie tu loh!
Bt nilikuambia honey! Emergency niliyokuwa nayo! And you know that I love u so! There's no me without u! Please don't do this to me. Came back home.
Hee kwahiyo mie ndo ushantema ee....
nani huyo?wataka mume kwani? Mbona wako namjua..!!
Ee...umefumania?
Shogaaa kua kama dida...usimlilie mwanaume wako wengii aisee
We bibiee mchonganishii unawaita kabsa??aya kuna richpol...sharcode!!
Nataka divorce!!nimechoka aisee kwa shida na raha imekua mwiba kwangu..kutwa unakesha na kombe la dunia??khaa utadhani una ubia na FIFa
sure log time...miss u much best...
naona unaweka sawa nyumba yako best wishers
Nakuambia siku hizi ukitoka kidogo tu watu wanavunja mlango.