Nifanyeje uridhike CHARTY Mpenzi?

Nifanyeje uridhike CHARTY Mpenzi?

Mkuu shemeji yako lakini na nilishakutambulisha.

Kiongozi wewe unatafuta ugomvi usiokuwa na sababu
Mali yangu unatangaza ni yako tena unadanganya kuwa upo naye wakati yupo kwangu na anakuangalia tu
Alitaka kukupa makavu live nimemtuliza kwa mtindo huu wewe kubali tu matokea richp pol!
 
Kibo10 wa mie...kwanini siri za ndanii unaziweka hadharanii
 
Umpe vyote hivyo kisa upewe pindigesi tu?

Duh...ata kwetu wenye shida wapo,asijifanye yeye ndo ana haki sana ya kuhudumiwa.

Only Stupid can handle this!

Pita hiviiiii.......muache kibo10 wangu lol anipe ful maloveeee!!
 
Nshaupokea sema linginee!!

Asante mpenzi wangu charty kwa kunipokea katika moyo wako
Nina kuaidi kukujali na kukulinda kama mboni ya jicho wewe ni kila kitu kwangu
Najuwa watajinyonga wengi na wangine watashindwa kula daku kama Rich Pol na aje hapa aone penzi la moto na matata
Shemeji yako Skype hakuamini na alijawa na hofu kubwa nilipoweka hisia zangu adharani naye aje hapa awe shuhuda!!!
 
Last edited by a moderator:
Kibo10 wa mie...kwanini siri za ndanii unaziweka hadharanii

Kuna mtu nimeamua kummaliza na sasa hivi ni muda mwafaka wa kuweka mambo yetu hadharani
Si unajuwa tutafunga ndoa siku za karibuni?itakuwa rahisi kupata michango yao kwa wingi.
Kukiwastukiza wataanza kulalama hawana fedha!
 
Asante mpenzi wangu charty kwa kunipokea katika moyo wako
Nina kuaidi kukujali na kukulinda kama mboni ya jicho wewe ni kila kitu kwangu
Najuwa watajinyonga wengi na wangine watashindwa kula daku kama Rich Pol na aje hapa aone penzi la moto na matata
Shemeji yako Skype hakuamini na alijawa na hofu kubwa nilipoweka hisia zangu adharani naye aje hapa awe shuhuda!!!

Raha penzi bana penda...pale unapopendwa...kiss me..I wl kiss u back....siyo wengine wanaleta mapenzii yakufikirika...bwahahaha I need a fresh shiiiit...yes I got it baby frm yah....!ua mine am urz ....lingine unalo????
 
Last edited by a moderator:
Raha penzi bana penda...pale unapopendwa...kiss me..I wl kiss u back....siyo wengine wanaleta mapenzii yakufikirika...bwahahaha I need a fresh shiiiit...yes I got it baby frm yah....!ua mine am urz ....lingine unalo????

Umenipeleka sayari ya mass ghafla!
Mwaaaa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom