Tuna mtoto, hatujaoana, tuliachana kwa muda wa miaka miwili na nusu, sababu ilikuwa ni mistreatment/abuse.
hapo katikati kulikuwa na mushkeli sana wa kupigana na kupelekana polisi na kusemeleana kwa ndugu jamaa na marafiki mpaka wazazi.
alisusa kumuona mtoto na kumuhudumia kwa kipindi chote hicho. tumekutana tena mwaka huu mwanzoni, akadai anakaribia kumtolea mtu mahari, na mpaka sasa wana miezi mitatu tu.aliniomba tena turudiane nikakubali. tukakubaliana mi nimuache niliyenaye na ye amuache aliyenaye na process za mahari zisitishwe. nikafanya upande wangu. ye kumuacha hataki, lakini process za mahari zimesitishwa. anasema yeye kama mwanaume hawezi sahau nilivyompeleka polisi, ananipenda lakini hawezi kuwa na mimi.
nimefikiria nikaona kama vile amefanya revenge, nimeumia sana,nina maumivu makali moyoni sijawahi kupata,nikikaa nalia peke yangu. i think i need to talk to a psychologist nirudi kwenye hali ya kawaida.i left the guy i was with, he is still with his woman, but saying that he is not happy because he isnt with me ila hawezi kuwa nami coz hajasahau. nikikaa kimya lazima anitafute kupretend anaulizia mtoto.
how do i deal with this pain please people advise/comment. i wish i could go somewhere far, but then again nawaza why should i do that because of one person. but why did he do that? ndugu zake kuchwa kunitafuta kutaka niwe close nao, nao wananifanya iwe ngumu mimi kumsahau. nifanyeje?
hapo katikati kulikuwa na mushkeli sana wa kupigana na kupelekana polisi na kusemeleana kwa ndugu jamaa na marafiki mpaka wazazi.
alisusa kumuona mtoto na kumuhudumia kwa kipindi chote hicho. tumekutana tena mwaka huu mwanzoni, akadai anakaribia kumtolea mtu mahari, na mpaka sasa wana miezi mitatu tu.aliniomba tena turudiane nikakubali. tukakubaliana mi nimuache niliyenaye na ye amuache aliyenaye na process za mahari zisitishwe. nikafanya upande wangu. ye kumuacha hataki, lakini process za mahari zimesitishwa. anasema yeye kama mwanaume hawezi sahau nilivyompeleka polisi, ananipenda lakini hawezi kuwa na mimi.
nimefikiria nikaona kama vile amefanya revenge, nimeumia sana,nina maumivu makali moyoni sijawahi kupata,nikikaa nalia peke yangu. i think i need to talk to a psychologist nirudi kwenye hali ya kawaida.i left the guy i was with, he is still with his woman, but saying that he is not happy because he isnt with me ila hawezi kuwa nami coz hajasahau. nikikaa kimya lazima anitafute kupretend anaulizia mtoto.
how do i deal with this pain please people advise/comment. i wish i could go somewhere far, but then again nawaza why should i do that because of one person. but why did he do that? ndugu zake kuchwa kunitafuta kutaka niwe close nao, nao wananifanya iwe ngumu mimi kumsahau. nifanyeje?