Pole sana,[emoji23][emoji23][emoji23] huo mchezo nilishafanya siku moja nimelala siku kwanza, ya pili akajua hasira zimeisha nikaunganisha, ya 3 nikakuta kitanda na godoro vipo stoo [emoji23][emoji23]Du!! hapa hata usingizi haupiti yeye nasikia anakula mziki tu hana wasiwasi
Mwenyekiti wa kiburi JF hi![emoji2772][emoji2772][emoji2772]
Kweli Tatizo Mdomo unawaponza mara nyingiHata kama mzenguaji ni mwanamme inategemea na namna mwanamke alivyokabiliana na hilo kosa la mshkaji.
Umenishika na mpango wa kando, unaniambia "siwashangai ndivyo mlivyo kwenu nyote ni malaya, mpaka mama yako" hapo tegemea ishu kukugeukia bibie
Nina kama wiki hivi tulitofautiana kidogo na mume wangu. Tuligombana sana ila sio ngumi inshort alinikwaza.
Sasa kwa hasira nikahamia kulala chumba cha wageni nikidhani baada ya muda atakuja kunibembeleza na kuniomba msamaha yaishe nirudi chumbani.
Du!!! Sasa wiki imekatika jamaa hata muda hana natamani kurudi chumban lakini naanzaje maana niliamisha baadhi ya nguo na pochi zangu na vipodozi vyangu aisee jamaa hana time yaani tena akiingia chumbani anafunga na funguo.
Mimi hasira zimeisha naona aibu kurudi.
Nipeni mbinu jamani nifanyeje aanze yeye kunibembeleza?
Mkuu sisi tukae pembeni na mbege yetu![emoji23]
Pole... Muombe msamaha yaishe.maana wewe ndo ulikosea kuhama chumba
Hahaha Kuvuja kwa PakachaKama mnaongea vizuri ugomvi jua umeisha rudi tuu ndani kwako.
Unajua kuna watu huwa hawapendi kubanwa banwa kitandani, yawezekana huyo ni miongoni mwao so ulivoondoka ni furaha kwake.
Sawa MUME alikosea ila msamaha ni wa kuomba kutaka kurudi chumbani haya mengine watajua jinsi ya kumalizaMsamaha wa nn na amesema mume ndo kakosea ? Ye arudi tu chumban watayamaliz chinichini
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanachukua kwenye subtitles za movie tehSio kwenye hii mada tu, ni misemo ambayo not healthy kwenye mila na desturi zetu za Kiafrika
We hatari duhNisingehama in the first place, siku zote huwa naamini katika mazungumzo na kama imefikia hatua ya kuhama nitahama niende kwetu kabisa na wazo la kurudi halitokuwepo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafuu ya mchukuzi , lol.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe Mviazie ulale uchi Sebureni Atakubeba mwenyewe
Cc luckyline
Rudi tu acha kujiona nunda wakati umetolewa mahaliNina kama wiki hivi tulitofautiana kidogo na mume wangu. Tuligombana sana ila sio ngumi inshort alinikwaza.
Sasa kwa hasira nikahamia kulala chumba cha wageni nikidhani baada ya muda atakuja kunibembeleza na kuniomba msamaha yaishe nirudi chumbani.
Du!!! Sasa wiki imekatika jamaa hata muda hana natamani kurudi chumban lakini naanzaje maana niliamisha baadhi ya nguo na pochi zangu na vipodozi vyangu aisee jamaa hana time yaani tena akiingia chumbani anafunga na funguo.
Mimi hasira zimeisha naona aibu kurudi.
Nipeni mbinu jamani nifanyeje aanze yeye kunibembeleza?
Sasa mambo yetu mpaka uje uyaseme huku?? Umewaeleza na makosa yako lknNina kama wiki hivi tulitofautiana kidogo na mume wangu. Tuligombana sana ila sio ngumi inshort alinikwaza.
Sasa kwa hasira nikahamia kulala chumba cha wageni nikidhani baada ya muda atakuja kunibembeleza na kuniomba msamaha yaishe nirudi chumbani.
Du!!! Sasa wiki imekatika jamaa hata muda hana natamani kurudi chumban lakini naanzaje maana niliamisha baadhi ya nguo na pochi zangu na vipodozi vyangu aisee jamaa hana time yaani tena akiingia chumbani anafunga na funguo.
Mimi hasira zimeisha naona aibu kurudi.
Nipeni mbinu jamani nifanyeje aanze yeye kunibembeleza?
Hapo kweli akili kichwani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nafuu ya mchukuzi , lol.