Ndo dawa pekee,ingia road kimbia,baada kama 2weeks utaona tofauti kubwa,kiafya,hata kiwangomazoezi kila siku asubuhi na jioni
Ndo dawa pekee,ingia road kimbia,baada kama 2weeks utaona tofauti kubwa,kiafya,hata kiwango
chako cha kusukuma kandanda home kitaongezeka.
ongeza mke wa pili
tafadhali mkuu fafanua hapo kwenye bold,umeoa. Kama ndio. Kabila gani ? Au anatokea mkoa gani ? kama umeo mbeya imekula kwako. Utakufa nacho.
Ndugu wana JF. Siku hizi naona kitambi kimeanza kuninyemelea. Nifanyeje ili nikikwepe? Naomba msaada wenu tafadhali.
fuatisha doze hii(angalizo doze hii ni kwa mtu mmoja)
asubuhi; kula nyama kilo moja,grand malt 2,mayai yakukaanga 5 kisha lala.mchana :maini kilo 1 nusu tumia na wali pamoja na mikate yenye blue band ya kutosha pia juis ya tropical embe kisha kaa ukitazama comed au jf akikisha unacheka sana .jion:andaa chipsi mayai na safari 2 baridi.tumia doze hii kwa wiki nne kitambi kama si kuishi kitatokomea kabisa.
tembea nje ya ndoa ufumaniwe halafu stori itoke kwenye magazegi ya udaku