Nifanyeje nimnase

Nifanyeje nimnase

Endelea kumfukuzia polepole, iko siku atakubali na atakupa mbunye ule hadi ushindwe kusimama ila hakikisha unamchukua jumla na si kumpotezea mda wake.
 
Ni kweli m baby akishakuja home kashajiandaa kuliwa sasa huyu jamaa yeye sijui atakuwa anampigisha story za enzi hizo shuleni.. Hahaha
Interesting

kuna siku huyo dada atavua na nguo na utakuja kutuomba ushauri humu
 
Mthibitishie kwamba you love her so much( actions)
Usiwe na haraka, wanawake wengine hawataki pupa, kwa sababu ukija pupa wenzake wanamwambia atakuchezea.
Maanisha basi kwamba you belong to her, sasa me nakushauri akija awe anapika kabisa.
Soon utapata matokeo. But kama humaanishi au hujamhakikishia, Bro atakukimbia.
But I can see msichana anakupenda, bado anakusanya ushahidi wa maneno yako
We jamaa uko kwenye kiwango kama messi, uo ndo ushauri sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom