Barca
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 1,619
- 1,924
Mimi ni Msabato kindakindaki. Nilibahatika kufunga ndoa na binti Mkatoliki, alihamia Sabato na akabatizwa ubatizo wa Kisabato.
Huyu binti ni mpigaji mzuri wa kitimoto, yaani balaa. Nimemwambia achana na hugo gudude ni gubaya.
Akaniahidi kuwa ameacha, lakini kila baada ya muda kidogo namkuta tena anakula gudude.
Je, nifanyeje aache kula hugo gudude?
View: https://vm.tiktok.com/ZMSdbPEAk/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok
Mwache ale. Shida nyie wafuasi wa hizi dini msio na shule ni vilaza sana. Wenye imani yao imeanza tangu Yesu alipoacha miaka 2025 iliyopita mna shida sana.