Nina mtizamo hasi (negative perception)dhidi ya wanawake naomba wana saikolojia na sociologists waliomo humu kunishauri ni jenge imani umpya kwa wanawake ili niweze kua na mapenzi ya dhati sio ya unafiki au pretence love.
Kauli yangu siku zote imekua kwamba "never ever trust a woman what so ever case may be hilo limeniathiri mpaka leo, ninavo ona mwanamke namuona kama mtu mbinafsi anae tafuta pesa sio mapenzi mtu muongo muongo anae pretend ila lengo lake ni kukuibia pesa na kupata unafuu wamaisha kupitia kwako, kuna kipindi natongaza mwanamke mpaka nasahau kwamba nilimuahidi tuonane, I don't take women serious sijui kwanini.
Ila hili limetokana na matukio kadha ni meshuhudia kwa marafiki zangu na mimi mwenyewe nilio fanyiwa wakati ni kiwa kijana mbichi.
Naomba ushauri wa kurudisha imani yangu kwa hao viumbe ili niweze kujenga imani na trust kwao ili nipate wa kuzeeka nae " A true wife ni muhimu ikiwa mtu mzima"
Kauli yangu siku zote imekua kwamba "never ever trust a woman what so ever case may be hilo limeniathiri mpaka leo, ninavo ona mwanamke namuona kama mtu mbinafsi anae tafuta pesa sio mapenzi mtu muongo muongo anae pretend ila lengo lake ni kukuibia pesa na kupata unafuu wamaisha kupitia kwako, kuna kipindi natongaza mwanamke mpaka nasahau kwamba nilimuahidi tuonane, I don't take women serious sijui kwanini.
Ila hili limetokana na matukio kadha ni meshuhudia kwa marafiki zangu na mimi mwenyewe nilio fanyiwa wakati ni kiwa kijana mbichi.
Naomba ushauri wa kurudisha imani yangu kwa hao viumbe ili niweze kujenga imani na trust kwao ili nipate wa kuzeeka nae " A true wife ni muhimu ikiwa mtu mzima"