Nifanyeje kuhusu Ili?

Nifanyeje kuhusu Ili?

cold water

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2021
Posts
323
Reaction score
1,128
Natamani tuishi wote Sasa nifanyeje jamani? Nina mwanaume tunafanya kazi sehemu moja yeye anaishi kwake na mimi kwangu,nitumie njia gani Ili tukae wote niliwahi kumuambia tukae wote akasema ananichunguza kama namfaa asije akanichukua tukakaa wote badae akaona simfai.tuna miezi minne ya mahusiano.naombeni njia na kwake Huwa naenda Hamna nguo ya mwanamke na hajaoa zipo nguo zake tu.na mara nyingi naenda na yeye kwangu anafika
 
Natamani tuishi wote Sasa nifanyeje jamani? Nina mwanaume tunafanya kazi sehemu moja yeye anaishi kwake na mimi kwangu,nitumie njia gani Ili tukae wote niliwahi kumuambia tukae wote akasema ananichunguza kama namfaa asije akanichukua tukakaa wote badae akaona simfai.tuna miezi minne ya mahusiano.naombeni njia na kwake Huwa naenda Hamna nguo ya mwanamke na hajaoa zipo nguo zake tu.na mara nyingi naenda na yeye kwangu anafika
Mwambie awe makini kuoa mwanamke siku hizi nikama kujifunga mkanda wa mabomu mda wote yana kulipukia bora kuendelea kukaa hivo hivo.
 
Natamani tuishi wote Sasa nifanyeje jamani? Nina mwanaume tunafanya kazi sehemu moja yeye anaishi kwake na mimi kwangu,nitumie njia gani Ili tukae wote niliwahi kumuambia tukae wote akasema ananichunguza kama namfaa asije akanichukua tukakaa wote badae akaona simfai.tuna miezi minne ya mahusiano.naombeni njia na kwake Huwa naenda Hamna nguo ya mwanamke na hajaoa zipo nguo zake tu.na mara nyingi naenda na yeye kwangu anafika
Mimi, Mwanamke anaeonyesha kunitaka sana huyo lazima nimpige chini.
 
yeye anaishi kwake na mimi kwangu,nitumie njia gani Ili tukae wote
Siku 1 ongea na shogaako ahamishe vitu vyako mchana alafu jioni ukirudi mpigie simu mwambie umeibiwa kila kitu, atakuja mtasikitika pamoja alafu utaenda kuanza kuishi nae
 
Natamani tuishi wote Sasa nifanyeje jamani? Nina mwanaume tunafanya kazi sehemu moja yeye anaishi kwake na mimi kwangu,nitumie njia gani Ili tukae wote niliwahi kumuambia tukae wote akasema ananichunguza kama namfaa asije akanichukua tukakaa wote badae akaona simfai.tuna miezi minne ya mahusiano.naombeni njia na kwake Huwa naenda Hamna nguo ya mwanamke na hajaoa zipo nguo zake tu.na mara nyingi naenda na yeye kwangu anafika
Sababu za kuhama kwenu kabla hujaolewa ni zipi?
 
Miezi 4 😳😳na unataka kijana wa watu ajivike bomu?Mungu asaidie huyo mwamba asije kujivika hicho kitanzi
 
Back
Top Bottom