Mimi ni kijana niliyekosa MKOPO mwaka huu.but CHUO Nimepata ARDHI(B of arts in economics)TATIZO KUBWA NI FEDHA.naombeni MSAADA WENU nifanyaje ili nipate SPONSOR yeyote atakae nisaidie ili niendelee na masomo.naombeni MAWAZO YENU
Hizo point zako ni za ualimu tu. Mkopo haupat kuna watu wa PCB, pCM, PGM, wamepata below ya kwako wanapwiyanga mtaani. Wah kabla diploma hawajaripoti. Utakuwa mwl mzur sana wa Math.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.