Katika mambo ambayo nimejipangia mwaka huu ni pamoja na ku follow great thinker wa jf wakiwamo na hao usimsahau na mkuu Malcom Lumumba katika mambo fikirishi yaliyo behind curtains.jifunze kwanza kiingereza ili uweze kusoma vitabu vyenye maarifa..
pia
Mkubwa naomba nikuunganishe na hawa watu wakupe mambo.. EMT, Pasco, Kiranga..pia Mzee Mwanakijiji.. Wakusaidie zaidi!!
Azisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke anayeomba hela, uwe unampa na usiachanenae. Nadhani ukiombwa hela wakati huna! uwezo wako wa kufikili utaongezekaNimekua nikisikia kuwa watu waliosoma sana ndio wenye uwezo mkubwa wa kufikiri. Je mimi ambaye nimekomea darasa la saba, nifanyeje ili niboreshe uwezo wangu wa kufikiri ilihali sina uwezo wa kuendelea na masomo zaidi ya hapo?
Hahahha wehu ndo kundi kubwa kwel kwelHumu Jf kuna makundi yote.
Wenye busara
Wehu
nk
Aisee..!!!Chukua dictionary pamoja na vitabu vingine vya maarifa mbalimbali ( kama physics , biology , philosophy etc) kulingana na eneo unalotaka kuongeza maarifa. Chukua sufuria kubwa ( kama huna azima) chemsha pamoja dakika tatu then weka mbilimbi au ndimu na tokosa pamoja kwa dakika 15. Kunywa maji yake angalau nusu lita kwa siku muda wa miezi mitatu mpaka minne. Ukitaka kuwa genious kunywa mchnaganyiko huo kwa muda wa mwaka mzima......Mimi nilifanya hivyo sasahivi ni Professor Mlimani............
DuhChukua dictionary pamoja na vitabu vingine vya maarifa mbalimbali ( kama physics , biology , philosophy etc) kulingana na eneo unalotaka kuongeza maarifa. Chukua sufuria kubwa ( kama huna azima) chemsha pamoja dakika tatu then weka mbilimbi au ndimu na tokosa pamoja kwa dakika 15. Kunywa maji yake angalau nusu lita kwa siku muda wa miezi mitatu mpaka minne. Ukitaka kuwa genious kunywa mchnaganyiko huo kwa muda wa mwaka mzima......Mimi nilifanya hivyo sasahivi ni Professor Mlimani............
Kwani unaposema kusoma sana, kusoma sana una maanisha nn? Kuwa la Saba usijihisi unyonge, soma vitabu vingi vya Kila Aina hiyo ndio chakula cha ubongo mzeeNimekua nikisikia kuwa watu waliosoma sana ndio wenye uwezo mkubwa wa kufikiri. Je mimi ambaye nimekomea darasa la saba, nifanyeje ili niboreshe uwezo wangu wa kufikiri ilihali sina uwezo wa kuendelea na masomo zaidi ya hapo?
Chukua dictionary pamoja na vitabu vingine vya maarifa mbalimbali ( kama physics , biology , philosophy etc) kulingana na eneo unalotaka kuongeza maarifa. Chukua sufuria kubwa ( kama huna azima) chemsha pamoja dakika tatu then weka mbilimbi au ndimu na tokosa pamoja kwa dakika 15. Kunywa maji yake angalau nusu lita kwa siku muda wa miezi mitatu mpaka minne. Ukitaka kuwa genious kunywa mchnaganyiko huo kwa muda wa mwaka mzima......Mimi nilifanya hivyo sasahivi ni Professor Mlimani............