Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,604
- 20,058
We vipi tena?? Nije wapi?? Mie nishamfuata asiye mchoyo.Njoo hapa
We vipi tena?? Nije wapi?? Mie nishamfuata asiye mchoyo.Njoo hapa
Wewe ni Me au Ke Boss!?Nimechoka kuombwa ombwa.
Mara pikipki, mara Gari mara wanikope pesa kote huko nashindwa kukataa. Natoa huku roho inauma. Mafuta niweke Mimi, pikipki waendeshe wao! Aaaarrrrggggg nipeni dawa jamani ili niwe mchoyo.
Acheni utani nipo siriazi ujueNiadopt niwe mdogo wako mkuu wakiomba unasema mimi nina shida navyo.
Wewe ni Me au Ke Boss!?
Cha msingi ni kutokuwa navyo au kutomiliki vya kuombwa. Utakuwa mchoyo automatically.
Namaanisha Kama hauko tayari kusema HAPANA Ina maana hauko tayari kwa hizo baraka (Gari,Pikipiki,Pesa n.k) Mungu alizokujaalia/kuzawadia. Jaribu kurudia hali yako ya zamani inaweza kuwa suluhu na kukupa Amani katika nafsi yako.So niwe maskini au unamaanisha nini?
Forum nzima ukiuliza dogo gani hua hana masikhara utatajiwa mimi.Acheni utani nipo siriazi ujue
Mkuu....Sasa wewe badala ya kunisaidia unazidi kupiga mizinga!
huu Uzi nishausoma. AhsanteSababu 5 kwanini unapata pesa lakini huna maendeleo, utabaki hivo hivo ukipuuzia ukweli
Pitia huu uzi ujifunze kidogo mkuu
kwa sasa nakua mgumuHaahaa...
Endeleza ukarimu Mkuu...
Baada ya kuchacha sasa akili itakukaa vyema hizo Mali utakazopata utakuwa makini nazo hutotoa ovyo ovyoUmaskini ni mzigo. Ugua maradhi ote ila kuchacha usiombee
Nifuate na MimiWe vipi tena?? Nije wapi?? Mie nishamfuata asiye mchoyo.
Vibaya hivooo jamani hamuwezi jua uhalisia wa maisha ya watu love. Kama una uwezo just help them ila kwa akili sana wengine wamezoea kujitegezaWakija kukuomba, anza kuwawahi kwa kuwaambia haviombeki... Kila mtu aende kwake... Alafu unafuta nao urafiki... Watakuona mchoyo sana...
Cc: mahondaw
Toa kwa furaha kile ambacho una uwezo nacho na ndipo utakapo furahia Baraka za utoaji katika maisha yako.Nimechoka kuombwa ombwa.
Mara pikipki, mara Gari mara wanikope pesa kote huko nashindwa kukataa. Natoa huku roho inauma. Mafuta niweke Mimi, pikipki waendeshe wao! Aaaarrrrggggg nipeni dawa jamani ili niwe mchoyo.