Utakuwa ulitamani maisha yake, maana nyie mkiona kijana ameshaweka viasset na mambo fulani getto kwake hamchelewi kisema nmempenda coz ana akili ya maisha na anajiweza, hapo na sisi tunatumia fursa maana kabla ya hapo huwa tunapata changamoto kuwapata watu km wewe, badilika.