Nashkur ndugu yangu....I willYaan hapo umetoka shimoni... ukadumbukia tena shimoni. Ushauri wangu embu this tyme tulia. Kama ameamua kukuacha.. achana nae.. japo inauma.. lakin kubali. Jipange.., fanya maombi sana.. mshirikishe Mungu.. atakupa mtu sahihi kwa ajili yako
Bas jiongeze may b alichotaka amekipata au alichokitegemea sichoNdio
Kapime kwanza ngoma aina ya "mbegete", then urudi hapa ndo tuendelee!!!Naumia tu kwa vile nilimpenda
Inabidi utulie Kama mdau alivyokushauri hapo Juu...Mahusiano ya wk mbili kusahau rahisi!!!then usiwe mwepesi Wa kuexpect makubwa unapoanza mahusiano na kumuamini MTU asilimia zote...All the best!!Keep enjoynNaumia tu kwa vile nilimpenda
Atuliee ataolewa lini wkt age ishakimbia inasoma 32 alivyokuwa na age ya24 alikuwa anaringia wanaume wanaompenda kwa dhatiYaan hapo umetoka shimoni... ukadumbukia tena shimoni. Ushauri wangu embu this tyme tulia. Kama ameamua kukuacha.. achana nae.. japo inauma.. lakin kubali. Jipange.., fanya maombi sana.. mshirikishe Mungu.. atakupa mtu sahihi kwa ajili yako
Je ni tatizo?isidhani!!walikutana wote joto liko Juu kuliko kawaida...yule mmoja kalishusha hataki tena...Hana haja ya kujikagua kagua...Pwapwiso unaosha vzur??
Nitafute nikuoe mm basi km utafika age hyo nitakupenda kwenyee shida zote na raha zoteeDuuh aya ila cjafika huko bado
Nilikuwa single kwa muda mrefu sikuwa na imani na wakaka hata kidogo. Mwez jana nikakutana na mkaka mstaarabu na mwenye akili ya maisha alinivutia sana kwa maana alikuwa anahitaji mwanamke wa maisha halikadhalika mimi.
Nikajikuta nimezama kwa kipindi kifupi ndani ya wiki 2 nilijikuta nimemuamini
Ghafla tu akaacha kupokea simu zangu na kutojibu ujumbe
Sikukata tamaa nilimtafuta tena kwa upole sana maana sikujua kosa langu na hatukugombana
Duuuuh sikuamini text yake ya mwisho ilinihuzunisha saaaaanaaa "Its over..kwasasa siko tayari kuwa katika mahusiano"
Nawaza sijui nini nimemfanyia nakosa amani na naogopa kumsumbua zaid nahisi atanichukia.