Nifanye Nini simu yangu isiniandikie storage full?

Nifanye Nini simu yangu isiniandikie storage full?

Ukiachana na ushauri wa wadau wa kufuta cache na data kwenye apps hasa zinazotumia nafasi kubwa kama Whatsapp mf.

Unaweza kwenda kwenye File manager na kuandika MEDIA kwenye uwanda wa searching space halafu zitakuja record zisizo na msingi za Whatsapp hasa then uifutilie mbali.

NB:Nenda palipoandikiwa Back ups
Ahsate sana Kuna kitu kikubwa umenisaidia
 
Ukubwa wa simu yangu ni gb 32
Infinix hot 9 .
Nimejaribu kufuta kila kitu Sina video Wala picha yeyote lakini nikitaka hata kupiga picha tu inaniandikia storage full, naomba msaada wenu wa setting..
TAFUTA HELA
 
Ukubwa wa simu yangu ni gb 32
Infinix hot 9 .
Nimejaribu kufuta kila kitu Sina video Wala picha yeyote lakini nikitaka hata kupiga picha tu inaniandikia storage full, naomba msaada wenu wa setting..
Gb 32 ni ndogo sana
 
Unajifanya mjuaji kishenzi.
Utadhani wote maisha tunafanana
Nawe acha ujuaji umejuaje kuwa hawezi kununua simu yenye bei hiyo...?
Bongo ukitoa ushauri unaonekana mjuaji! Sasa unafikiri asipohamia simu zenye storage kubwa afanye nini..??
Kubadili simu hakukwepeki aidha awe anauchumi unaomruhusu au usiomruhusu kwani hata akianza kutunza vitu google drive vikijaa itabidi aanze kulipia ili kuongeza nafasi zaidi!. Gharama hazikwepeki.
 
Wabongo bana. Wakishika hela kila mmoja anaona ana hela.
Mimi mwenyewe natumia TECNO W3 inanifaa kwa matumizi yangu.
1. Hapo apakue phone cleaner zipo play store ili aweze kuclear junk files
2. Aingie apps angalie app zenye mb nyingi.
N.B
Mtu ana simu kubwa nzuri ila matumizi yake ni kuchat facebook, whatsapp, instagram, JF, Tiktok na youtube na huko kote anasoma umbeya (udaku), anaangalia movies, video za ngono na simulizi za kufikirika (Peniela). Hawezi kusoma au kuangalia video vitakavyokupa ujuzi wowote.
Sikupangii matumizi ila tuheshimiane.
Wakati android na iOS zinaanzishwa ulikuwa bado unanyonya.
App kama Facebook ilikuwa Ina uwezo wa 50mb na ikitumika kwenye simu ni 250mb.
Sasa Leo app hiyo hiyo kwa Sasa inafika 1.5gb na hapo hapo una maitaji kama muziki,picha,video upakue.

Ukiwa na wakubwa tambua kueleweshwa
 
Wakati android na iOS zinaanzishwa ulikuwa bado unanyonya.
App kama Facebook ilikuwa Ina uwezo wa 50mb na ikitumika kwenye simu ni 250mb.
Sasa Leo app hiyo hiyo kwa Sasa inafika 1.5gb na hapo hapo una maitaji kama muziki,picha,video upakue.

Ukiwa na wakubwa tambua kueleweshwa
Acha kunidanganya. Mimi siyo kama wale unaowafikiria.
 
Mi niliyonayo yananitosha...[emoji28]
Yatakushinda tuu
d797c71ba9954b2c1f63331c3bf597e4.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom