Nifanye Nini simu yangu isiniandikie storage full?

Nifanye Nini simu yangu isiniandikie storage full?

naomba msaada wenu wa setting..
Ichukue simu yako ikiwa haijazimwa izime kwanza alafu chukua ndoo kubwa ya Lita 20 chukua maji jaza kwenye hio ndoo yako ya Lita 20 hakikisha maji hayajai mpaka juu, chukua simu yako ikiwa bado haijazimwa km uliizima iwashe alafu itumbukize ndani ya hio ndoo yenye maji, ukishaitumbukiza subiri Nusu saa yaan dakika 30 baada ya dakika 30 kupita itoe simu yako kwenye hio ndoo nakuhakikishia simu yako haitosoma storage full tena kuanzia hapo, km utakua na swali lolote au km ukikwama kufuata hizo procedure uliza nikuelekeze vizuri
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wizo chukua Maua yako [emoji253][emoji253][emoji253]
Afu uniambie nani alikuficha??
Wizoo mfukunyuku wewe kama KASUNGURA TOPE jamaniii, nilikuwa na bro ako siunajua tena kulea ndoaa [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]

Wizo nawe uachage udrraaakuuu jamanii [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
 
Back
Top Bottom