Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,193
- 33,580
Kajuaje Kama wameweka hizo mambo? Wizo anazingua
Wizo anawachana live
Kajuaje Kama wameweka hizo mambo? Wizo anazingua



Mwanzo nilikua nammind sana, baadae nikaja kuona kumbe ni comedianNiachie wizo wangu![]()
Wizo wangu hana baya 🤣🤣🤣Mwanzo nilikua nammind sana, baadae nikaja kuona kumbe ni comedian
Wizo ananianza nitamfanyia udrraku kwenye penzi lake na bro aachike we muache ajifarague 🤣🤣🤣Anakuambia acha udrrraku![]()
Kila mtu yeye huwa anampenda tuWizo ananianza nitamfanyia udrraku kwenye penzi lake na bro aachike we muache ajifarague![]()


Ichukue simu yako ikiwa haijazimwa izime kwanza alafu chukua ndoo kubwa ya Lita 20 chukua maji jaza kwenye hio ndoo yako ya Lita 20 hakikisha maji hayajai mpaka juu, chukua simu yako ikiwa bado haijazimwa km uliizima iwashe alafu itumbukize ndani ya hio ndoo yenye maji, ukishaitumbukiza subiri Nusu saa yaan dakika 30 baada ya dakika 30 kupita itoe simu yako kwenye hio ndoo nakuhakikishia simu yako haitosoma storage full tena kuanzia hapo, km utakua na swali lolote au km ukikwama kufuata hizo procedure uliza nikuelekeze vizurinaomba msaada wenu wa setting..
Anampenda bro angu tu 🤣🤣Kila mtu yeye huwa anampenda tu![]()
Hachagui huyoAnampenda bro angu tu![]()
Subiri aje 🤣🤣🤣Hachagui huyo
Wizoo mfukunyuku wewe kama KASUNGURA TOPE jamaniii, nilikuwa na bro ako siunajua tena kulea ndoaa
Wizo chukua Maua yako
Afu uniambie nani alikuficha??







