Mkali Tozz
JF-Expert Member
- Aug 9, 2012
- 278
- 80
vipi na perfomance ipo sawa?
uiwii ama kuna experience fulan ulishakukuta sio lzm iwe kwako inaeza kua frm ur friends,family members then ukajijengea ukuta whn it comes to girls.. otherwise bado hujampata uliempenda.
mkuu tubadilishane mioyo, maana mie sichelewi kupenda halafu mara zote nimeumia!
natamani ningekuwa wewe, angalau nijue mtu akipenda huwa anajiskiaje.
naishi na mwanamke na tuna watoto 2, tatizo langu ni kutamani badala ya kupenda.
my dear pengine umeshwahi kupenda ila unayaogopa mapenzi!hebu nikuulize
familia yako ina historia gani kimahusiano?utotoni mwako ulikua katika familia ya aina gani?
wazazi wako wanapotray aina ipi ya wanandoa ?
kwako mapenzi unayatazama vipi ukitazama ulivyokuwa na jamii iliyokuwa imekuzungukuka?
hapana, naishi na mwanamke na tuna watoto 2, tatizo ni kumuweka mtu moyoni ki-mapenzi, huwa natamani tu.
hili ndio tatizo!dah ngoja kesho tutaongea zaidi nikiwa na akili nzuri sa hizi si unajua mafoleni ya jiji letu hili inavochosha!ipo ya kawaida, ila ni m-binafsi sana ktk mapenzi, napenda kujiridhisha mimi bila kujali sana upande wa pili.
Unaweza kufafanua kwa nini unajiona unatamani na hupendi.
Umekaa na huyo mama watoto wako muda gani?
Bado unamtamani? AU unatamani kwa wengine na si yeye?
Je tamaa yako ni ya muda mfupi au mrefu...nikiwa na maana je unakinai haraka?
Kama unaweza mtamani mamam watoto toka mzae mpaka leo na huna dalili za kuacha kumtamani...na mapenzi yamo humo humo.
Issue ni kama unatamani wadada tofauti tofauti...kwani hapo huko hatarini.
ipo ya kawaida, ila ni m-binafsi sana ktk mapenzi, napenda kujiridhisha mimi bila kujali sana upande wa pili.
Ungekuwa kweli unajua ushauri/nasaha......Wadada wakazi wako wasingekuwa wanatiwa mimba ovyo ovyo tu