loh! hujawahi kupenda? ukija kupenda utakuwa kichekesho maana utafanya hata visivyotakiwa, ndo maana hata watoto hutakiwa kucheza michozo yao wakiwa wadogo wasipocheza hujeza ukubwani. nakushauri huu ndo muda penda bwana utakuja penda ukiwa mzee afu ujutie muda wa ujana.
loh! hujawahi kupenda? ukija kupenda utakuwa kichekesho maana utafanya hata visivyotakiwa, ndo maana hata watoto hutakiwa kucheza michozo yao wakiwa wadogo wasipocheza hujeza ukubwani. nakushauri huu ndo muda penda bwana utakuja penda ukiwa mzee afu ujutie muda wa ujana.
ndugu badala ya kutoa msaada unatuuliza swali. chaputa ni nini?
Unayejifanya hujawahi kupenda, dawa yako iko jikoni (limbwata). Utakuja kujikuta unapenda sana na wewe hupendwi kabisaaa.
Cjakuelewa vizuri ina maana hujawah kuwa na mahusiano au ukiw kwny mahusiano humpendi umetaman kdogo 2
upendo huo ninao, tena umepitiliza, kwani natumia hata sehemu ya mali zangu kusaidia ndugu na jamii inayonizunguka. Tatizo ni kumpenda mwanamke ki-mapenzi.
Tuko wengi kumbe,.....yaani mimi ndio zero kabisa kwenye mambo hayo.