Nifanye nini niongezeke uzito?

Jamani naombeni ushauli,mimi ni mdada nataka kunenepa😒Nina kilo 52 sasahv nataka kuongezeka mwili lakini yani kula kwangu kunasuasua ani,nikila kidogo tu nakua nshashiba ani.Nawaza kutumia protein powder ila sina uhakika nayo sana kama inafanya kazi.Naombeni ushauli kwa alie na experience
Kwa nini unakula kidogo bibie?
Mazingira yako ya kazi au nyumbani hayakuruhusu kula kwa wakati?
Je unauhakika mwili huo unaoutaka kwenye familia yenu watu wengi wapo hivyo isipokuwa wewe tu ndio sio kibonge?
 
Kwanza tafuta dawa za minyoo kula mpaka uhakikishe imeisha yote. Tafuta vitamin b complex tumia dozi. Tafuta vitamin c tumia dozi.
Alafu ingia sokoni tafuta mbegu z maboga kilo karanga kilo 2 maziwa na asali.
Mbegu za maboga na karanga zikaange zikaangike alafu zisage pamoja upate unga huo unga chemsha maziwa kikombe kimoja weka na vijiko 3 vya karanga na maboga kwa pamoja na asali kafiri utakavyo hii itakusaidia lakini muda mwingine wote wa kula kandamiza misosi ya kwenda na matunda ule muda wa kati ndio unapiga kikombe chako cha mchanganyiko huo utaona mabadiliko ndani ya muda si mrefu
 
Adding healthy fats to your diet for weight gain can be done by incorporating foods like avocados, nuts, seeds, olive oil, coconut oil and fatty fish into your meals. These sources of healthy fats not only increase calorie intake but also offer numerous health benefits.


YESU NI MWOKOZI
 
Jamani naombeni ushauli, mimi ni mdada nataka kunenepa😒Nina kilo 52 sasahv nataka kuongezeka mwili lakini yani kula kwangu kunasuasua ani, nikila kidogo tu nakua nshashiba ani.

Nawaza kutumia protein powder ila sina uhakika nayo sana kama inafanya kazi.Naombeni ushauli kwa alie na experience
protein powder. ni kwa ajili ya fixation tu itumie kama unafanya mazoezi.
pili kama bado hujazaa huo uzito ni wa kawaida sana
tatu, Uzito ni tatizo
 
Suggested diet plan for weight gain

The possibility of gaining weight overnight is one of the biggest hoaxes and myths. A healthy, consistent diet, strength training and a set of different weight gain exercises all play their part in helping you gain weight. Out of this, diet and food have an important role. The following can be maintained for your weight gain diet:

Breakfast: Include food items like whole-grain bread slices with peanut butter and honey; a glass of milkshake; a medium-sized seasonal fruit; milk with chia seeds and oats; poached eggs; avocado toast. Avoid caffeine products like tea or strong coffee.

Lunch: You can add food items like chicken pasta made with leafy green vegetables, feta cheese, olive oil, tomato and avocado; egg, cheese and salad wraps; lentil, vegetable and barley soup; chicken and noodle stir fry; a bowl of rice with vegetables and fish; chicken rice with corn; chapati, chicken curry and a bowl of yoghurt.

Dinner: You can add your choice of rice/chapati as preferred and have it with fish, chicken, vegetables. A bowl of chicken soup with corn may also be added.

Snacks: Dried fruits have a great potential in helping gain weight. A handful of almonds, cashews or walnuts every day may be a healthy snacking option. Seeds like sunflower seeds can be enjoyed as well. Whole-grain crackers with hummus dip serve as a great snack option.


YESU NI BWANA
 
Back
Top Bottom