Kama unaendeshwa na nyege basi endelea na uamuzi wako ila usije kutusumbua tena humu kwa thd ya kutaka ushauri kwa mateso utakayoyapitia kwa huyo mtu wako.
Ukitaka kuoa kuolewa usipende sana kuziamini akili zako.
Sababu wewe ni mfungwa kupitia ngono huwezi jua Tabia ya mwenzao wako kuliko wasio na ushirika nae kingono.
Uteja wa ngono uficha Tabia mbaya ya mtu,majuto ndoani
Mama Mzungu....
Mm ni mkubwa kwako...
Nina Ndoa ya miaka 15.....
Yanayonipata kwenye ndoa ya yanayopata wengine nayajua
Nakushauri hv....
Mskilize kaka yako..unataka kuvuka mstari ambao huwezi rudi nyuma...hao watu....hasa wanaume ni hatari sana
Ni majirani zangu
Kila kitu kimewekwa wazi mbele yako...utakuja kuchukia hii dunia na kila kitu...usije kulaumu mtu au kujilaumu.....
Nimekuonya kama Mtu Mzima...niliemzidi kaka yako miaka 15
Pole na pambana
Me naona ungefata tu ushauri wa kaka yako....ila cha msingi sema na moyo wako
Sawa, kila la kheriNi ngumu ila ngoja niendelee kujisikiliziaa
Ukweli kabisa .Ukitaka kuoa kuolewa usipende sana kuziamini akili zako.
Sababu wewe ni mfungwa kupitia ngono huwezi jua Tabia ya mwenzao wako kuliko wasio na ushirika nae kingono.
Uteja wa ngono uficha Tabia mbaya ya mtu,majuto ndoani
Kwa jinsi ulivyosimulia uwezekano wa kutokea ni mkubwa,labda ubeti ili ubahatishe matokeo yoyote.
Kuna story nyingi, ila hio ya kupewa dawa ya kutoa mimba ni uongo sanani kitu hakiwezekani, first kwa sababu ya taste ya hio dawa, itaharibu juice nzima, pili utaratibu wa kuinywa hio dawa ulivyo haiwezekani kuweka kwa juice kizembe hivo
kashakuambia kuna mwanamke alimpa mimbba akaikataa, we unaona sawa tu, ww ni sikio la kufaSawa sijakataa kufutaa ushaurii wake ila sasa kuwe na sababu za msingi ili hata home wanaponiuliza niwe na la kumjibu
Hivi mtu tu aniambie achana na huyo kaka kwasababu kabila Lao ni wachawi au wamalaya nitamuelewaje sasa
kashakuambia kuna mwanamke alimpa mimbba akaikataa, we unaona sawa tu, ww ni sikio la kufa
Fuata ushauri wa kaka, wanaume tunatabia ya kufichiana mambo na tunafahamu siri za wengi, hivyo kaka yako atakuwa anafahamu mengi sana kuhusu huyo mchumba wako na ndio maana anakwambia hivyo
Unajitahid kumtetea si Uolewe tu Mama mbona unataabisha Jamvi.Sina uhakika na hiyo story kwasababu kapewa na ex wake… mtu mpk kutoa posa means alimpenda huyo mwanamke alitaka kumuoa so kuna kitu kilitokea hapo kati mpk kukataa ujauzito ni story ya upande mmoja
mchawi ndugu wachunguze wa kwako
Unajitahid kumtetea si Uolewe tu Mama mbona unataabisha Jamvi.