Nifanye nini juu ya huyu mwanamke?

Nifanye nini juu ya huyu mwanamke?

Huenda Kuna shida Fulani Kwa mume wake ndiyo maana kakuganda, ila jaribu kukaa naye chini then muhoji na awe epenly, mwambie Mume wako anashida gani au anakunyanyasa au anamichepuko mingi, naamini atakupa majibu tuu, hakuna kilichokosa sababu naamini Kuna kitu kipo Kwa mume wake hivyo anaona Bora atafute solution kwa njia hiyo.

Note: Mimi mwenyewe nakutana Sana na wanawake kama hawa ila huwa nawakataa, mpaka hunihisi ninatatizo mahala Fulani, me nikashajua huyu nimke wa mtu huwa nakosa hata hisia kabisa na huyo mwanamke labda itokee sijui kuwa Mke wamtu. Mkuu muokoe dada wa watu kwenye ndoa ya mateso huenda wewe ni tulizo la Moyo wake.
 
Huenda Kuna shida Fulani Kwa mume wake ndiyo maana kakuganda, ila jaribu kukaa naye chini then muhoji na awe epenly, mwambie Mume wako anashida gani au anakunyanyasa au anamichepuko mingi, naamini atakupa majibu tuu, hakuna kilichokosa sababu naamini Kuna kitu kipo Kwa mume wake hivyo anaona Bora atafute solution kwa njia hiyo.
Note: Mimi mwenyewe nakutana Sana na wanawake kama hawa ila huwa nawakataa, mpaka hunihisi ninatatizo mahala Fulani, me nikashajua huyu nimke wa mtu huwa nakosa hata hisia kabisa na huyo mwanamke labda itokee sijui kuwa Mke wamtu. Mkuu muokoe dada wa watu kwenye ndoa ya mateso huenda wewe ni tulizo la Moyo wake.
Mbona wewe hujawaokoa hao Wake za watu kwenye ndoa zao? Acha Kumponza mwenzio. Hao wanawake Umalaya unawasumbua, faraja inapatikana kwa kucheat Ndoani??
 
Sasa mpaka now mambo yamekuwa magumu coz imefikia kipindi sasa hivi nisipo pokea sim zake anakuja mpaka home kwangu na nishamkataza lakini haelewi wala kuskia chochote.
Akija unakula mbususu ama unamwacha aende na utamu. Nikushauri tu ndugu yangu mpendwa, Usimwache aende na utamu. Utakuja kunishukuru. Ila kumwacha muache maana mauaji yamekua mengi. Ila akija kula. HATA SIJUI NIKUSHAURI NINI
 
Back
Top Bottom