HighSchool
Member
- Aug 6, 2022
- 87
- 91
- Thread starter
- #41
Mwanamke akikuganda kuna tabu kubwa sana... jamaa yangu ashahama mpaka nyumba
Acha tu mkuu yaan mbaka nawaza kuhama mkuu sio utani
Mwanamke akikuganda kuna tabu kubwa sana... jamaa yangu ashahama mpaka nyumba
Duuuh nikajua peke angu…ngoja nimuolee mwanamke
Unasikiaga tu furomu nowea mtu hasimamishi kbs kisa alinyolewa mavuzi usiku na sasa anaviashiria vyote vya ushagae?
Ulishawahi kumshuhudia mtu anatapika damu mbichi kwa wingi halafu hospitali ya rufaa hawaoni tatizo?
Kusema mke wa mtu anakupenda sawa tu na kusema kifo kinanipenda acha ujinga.
Mi nasubiri kama siku ikitokea ukatatuliwa marinda hayo uje huku JF uweke uzi[emoji16]
Nipe namba zake nimkanye Kiutu uzima.
Ukiendelea naye jiandae kupumuliwa nyuma,sikutishi ila jiandae ukiweza kila ulipo na KY iwepo.
Tulia lamba asali kijana.
Chagua akimoja AUMIE YEYE au YAUMIE MARINDA YAKO, simple.
Hama mtaa tu asipajue kwako
Jamaa yangu aliblock simu zote lakini wapi, akaanza kwenda nyumbani kwa mshikaji! Akaona isiwe tabu akaona ahame kabisa.Acha tu mkuu yaan mbaka nawaza kuhama mkuu sio utani
Story za WavulanaWakuu natumaini ni wazima, Mungu anaendelea kutupigania.
Niende moja kwa moja kwenye uzi
Iko hivi nilikutana na dada mmoja kiukweli nilitokea kuvutiwa sana na huyu dada kiukweli sikutaka kupoteza muda na baada ya muda tukaingia kwenye mahusiano mazito sana na kudate
Kiukweli huyu dada alijua kunipenda nasikuwah kumfatilia sana lakini baadae nikaja kugundua kuwa ana mume na nilimbana akakili kuwa kweli lakini hawana mtoto nikamwambia kwanini hakusema ukweli aliniambia aliogopa kunipote na hayuko tayari kiukweli mi wakuu sipendi mambo ya wake za watu na huwa Sitaki kabsa.
Baada ya hapo aliniomba sana nimsameh na kuniomba nisimuache nilimkubalia lakini baada kama ya siku mbili nikaona siwezi nikaanza kukata mawasiliano na hapo ndo alipojua ninampango wa kumuacha
Lakini alikataa katu nisifanye hivyo na kuniomba sana kuwa hawez kuachan nami na hawezi kabsa.
kiukweli nilimpenda pia lakini sasa kitu ambacho sikihitaji ni kumuona anaumia kwasababu yangu yaani namaanisha nisiwe chanzo cha yeye kuumia sasa ninachotaka nimuache bila kumuumiza.
Lakini sihitaji kuendelea nae coz ni mwanamke wa mtu.
Sasa mpaka now mambo yamekuwa magumu coz imefikia kipindi sasa hivi nisipo pokea sim zake anakuja mpaka home kwangu na nishamkataza lakini haelewi wala kuskia chochote.
Yaan wakuu nipeni msaada na mbinu nimkataeje huyu mwanamke yaan sasa amekuwa mpaka kero
Kila ninacho mwambia haelewe natamani kuhamia mji kiukweli ili nipotelee kwengine asinione tena.
Mvulana akitoa ushauriYani kama mimi nikishajua huyu mwanamke kaolewa huwa hata mzuka nae sina hata punje hata awe mzuri vipi.
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Kwanini mkuu wangu