Nifanye nini juu ya huyu mwanamke?

Nifanye nini juu ya huyu mwanamke?

Hama hapo unapokaa alafu ukiweza badilisha namba kama kweli unadhamiria kumuacha huyo dada... hia sehemu ambayo hakuna mtu wa karibu yenu anapajuaa ili iwe rahisi wewe kuendelea na maisha yako
 
Kiukweli mke wa mtu ni sumu na kiukweli uanze kutembea na vaseline maana kiukweli mwenye mali akikumata kiukweli atakufanya kitu mbaya
 
Hapo pagumu...ngoja nipite tu..[emoji1732][emoji1732][emoji125][emoji125]
 
Hama hapo unapokaa alafu ukiweza badilisha namba kama kweli unadhamiria kumuacha huyo dada... hia sehemu ambayo hakuna mtu wa karibu yenu anapajuaa ili iwe rahisi wewe kuendelea na maisha yako

Sawa mkuu nimekuelewa sana
 
Back
Top Bottom