Nifanye nini juu ya huyu mwanamke?

HighSchool

Member
Aug 6, 2022
87
91
Wakuu natumaini ni wazima, Mungu anaendelea kutupigania.

Niende moja kwa moja kwenye uzi

Iko hivi nilikutana na dada mmoja kiukweli nilitokea kuvutiwa sana na huyu dada kiukweli sikutaka kupoteza muda na baada ya muda tukaingia kwenye mahusiano mazito sana na kudate

Kiukweli huyu dada alijua kunipenda nasikuwah kumfatilia sana lakini baadae nikaja kugundua kuwa ana mume na nilimbana akakili kuwa kweli lakini hawana mtoto nikamwambia kwanini hakusema ukweli aliniambia aliogopa kunipote na hayuko tayari kiukweli mi wakuu sipendi mambo ya wake za watu na huwa Sitaki kabsa.

Baada ya hapo aliniomba sana nimsameh na kuniomba nisimuache nilimkubalia lakini baada kama ya siku mbili nikaona siwezi nikaanza kukata mawasiliano na hapo ndo alipojua ninampango wa kumuacha
Lakini alikataa katu nisifanye hivyo na kuniomba sana kuwa hawez kuachan nami na hawezi kabsa.

kiukweli nilimpenda pia lakini sasa kitu ambacho sikihitaji ni kumuona anaumia kwasababu yangu yaani namaanisha nisiwe chanzo cha yeye kuumia sasa ninachotaka nimuache bila kumuumiza.

Lakini sihitaji kuendelea nae coz ni mwanamke wa mtu.

Sasa mpaka now mambo yamekuwa magumu coz imefikia kipindi sasa hivi nisipo pokea sim zake anakuja mpaka home kwangu na nishamkataza lakini haelewi wala kuskia chochote.

Yaan wakuu nipeni msaada na mbinu nimkataeje huyu mwanamke yaan sasa amekuwa mpaka kero
Kila ninacho mwambia haelewe natamani kuhamia mji kiukweli ili nipotelee kwengine asinione tena.
 
Wakuu natumaini ni wazima, Mungu anaendelea kutupigania.

Niende moja kwa moja kwenye uzi

Iko hivi nilikutana na dada mmoja kiukweli nilitokea kuvutiwa sana na huyu dada kiukweli sikutaka kupoteza muda na baada ya muda tukaingia kwenye mahusiano mazito sana na kudate

Kiukweli huyu dada alijua kunipenda nasikuwah kumfatilia sana lakini baadae nikaja kugundua kuwa ana mume na nilimbana akakili kuwa kweli lakini hawana mtoto nikamwambia kwanini hakusema ukweli aliniambia aliogopa kunipote na hayuko tayari kiukweli mi wakuu sipendi mambo ya wake za watu na huwa Sitaki kabsa.

Baada ya hapo aliniomba sana nimsameh na kuniomba nisimuache nilimkubalia lakini baada kama ya siku mbili nikaona siwezi nikaanza kukata mawasiliano na hapo ndo alipojua ninampango wa kumuacha
Lakini alikataa katu nisifanye hivyo na kuniomba sana kuwa hawez kuachan nami na hawezi kabsa.

kiukweli nilimpenda pia lakini sasa kitu ambacho sikihitaji ni kumuona anaumia kwasababu yangu yaani namaanisha nisiwe chanzo cha yeye kuumia sasa ninachotaka nimuache bila kumuumiza.

Lakini sihitaji kuendelea nae coz ni mwanamke wa mtu.

Sasa mpaka now mambo yamekuwa magumu coz imefikia kipindi sasa hivi nisipo pokea sim zake anakuja mpaka home kwangu na nishamkataza lakini haelewi wala kuskia chochote.

Yaan wakuu nipeni msaada na mbinu nimkataeje huyu mwanamke yaan sasa amekuwa mpaka kero
Kila ninacho mwambia haelewe natamani kuhamia mji kiukweli ili nipotelee kwengine asinione tena.
Kijana unataka kumuacha bila kusikia maumivu,ushawahi ona Hilo jambo kweli?.Fanya maumizi hata yakiwa magumu,na usi angalia ata jisikia vipi.
 
Back
Top Bottom