JAJ FASHIONS
Member
- May 14, 2025
- 5
- 9
Nimejiuliza sana juu ya kulinda na kukuza mtaji lakin siona mwanga mbele yangu tafadhali naombeni mnisaidie.
Ndugu Poor Brain mi nampa idea aanzie hapa: Video: Wachina wana mpango gani na nchi yetu? Kuna hii store Mikocheni wanauza kila kitu 3,000. What's going on?Hakuna biashara utafanys kwa hiyo pesa zaidi zaidi utakua unacheza cheza tu..
Skia tafuta tafuta ifike milioni moja uongeze na hiyo laki tano ndo uanze habari za biashara hapa...
Kama unabisha jaribu biashara yoyote na hiyo laki tano yako ndo utajua kuwa umekuja kucheza
Ingia hapa pata idea: Video: Wachina wana mpango gani na nchi yetu? Kuna hii store Mikocheni wanauza kila kitu 3,000. What's going on?nikiwa na mtaji wa laki 5 biashara gani naweza nikafanya ?
Mkuu mkuu mkuu...Ndugu Poor Brain mi nampa idea aanzie hapa: Video: Wachina wana mpango gani na nchi yetu? Kuna hii store Mikocheni wanauza kila kitu 3,000. What's going on?
- Kupitia hiyo thread utaona wazi kabisa 500,000 inatosha kama mtaji wa biashara.
mbona hela nyingi Sana hyoMkuu mkuu mkuu...
Sina mengi ila nilichoongea hapo naelewa na nina uzoefu nacho
500k pesa nyingi kwa biashara mkuumbona hela nyingi Sana hyo
Tulishajadili Sana atafute Ile thread ya siku Ile .watu tumejichokea
Sana Tu mkuu.sana Tu.500k pesa nyingi kwa biashara mkuu
Mkuu haya ebu nipe idea hapo...Sana Tu mkuu.sana Tu.
500k nyingi sana mkuu.Hakuna biashara utafanys kwa hiyo pesa zaidi zaidi utakua unacheza cheza tu..
Skia tafuta tafuta ifike milioni moja uongeze na hiyo laki tano ndo uanze habari za biashara hapa...
Kama unabisha jaribu biashara yoyote na hiyo laki tano yako ndo utajua kuwa umekuja kucheza
Mkuu haya ebu nipe idea hapo...500k nyingi sana mkuu.
Mkuu kwanza nisikupe biashara nikufumbue macho uone. Kila pesa inaweza kuwa mtaji, kuwa ya mboga, kuwa ya bia, kuwa pocket money, kuwa ya mafuta ya gari tu, nk. Kuna mtu ana duka la nguo ukipiga hesabu ya nusu ya enga zilizopo dukani unapata ni mtaji wa biashara ya mtu. Kuna mtu aliwahi kunifuata akaniambia mambo yake yameyumba sana hadi amekula mtaji, nikamuuliza mtaji wako ulikua sh ngapi, akasema nilikua nazungusha karanga kilo mbili, kilo moja ni 6000/-Mkuu haya ebu nipe idea hapo...
Nikupe details gani ili unambie hyo biashara...nipo hapa nakufatilia shusha nondo sio unipe linki tijadili hapa mi na weww ni biashara ipi maana watu wengi wanakuja kuongea braa braa alafu hakuna kitu wanaweka hapa
😂😂😂😂😂Umeanza vzr mkuu nimependa the way unatoa full description ... Tuendelee mkuu maana mi pia ni mfanya biashara na naelewa kila kitu ana naelewa vzr tuu..Mkuu kwanza nisikupe biashara nikufumbue macho uone. Kila pesa inaweza kuwa mtaji, kuwa ya mbiga, kuwa ya bia, kuwa pocket money, nk. Kuna mtu ana duka la nguo ukipiga hesabu ya nusu ya enga zilizopo dukani unapata ni mtaji wa biashara ya mtu. Kuna mtu aliwahi kunifuata akaniambia mambo yake yameyumba sana hadi amekula mtaji, nikamuuliza mtaji wako ulikua sh ngapi, akasema nilikua nazungusha karanga kilo mbili, kilo moja ni 6000/-
Kwa scenerio hizi mbili utakua umenielewa kuwa 500k ni nyingi kwenye biashara. Inategemea sasa unataka nini. Hapo kwenye kutaka nini, ndio tutajikuta tunasema mtaji huu hautoshi, mtaji huu unatosha. Haya, wewe umemwambi aongeze ifike 1.5M, halafu afanye biashara gani? Maana hata yeye hajasema anataka kufanya nini na hio 500k.
Vipi bado unataka niende kwenye biashara gani atafanya na hio 500k? Au umeelewa tuishie hapa? Halafu mkuu, vipi bado unaendelea na yule sungle mama wako?😂🙌🏽
Sasa milioni inatosha nini jamani mtaji inatakiwa uanzie mil 10Hakuna biashara utafanys kwa hiyo pesa zaidi zaidi utakua unacheza cheza tu..
Skia tafuta tafuta ifike milioni moja uongeze na hiyo laki tano ndo uanze habari za biashara hapa...
Kama unabisha jaribu biashara yoyote na hiyo laki tano yako ndo utajua kuwa umekuja kucheza
Bado kiongozi unaongea nadharia tu na sio uhalisia wa mambo. Iko hivi hakuna mtaji mdogo wala mkubwa na hakuna mtaji uliowahi kutosha. Unaemtazama kama role model wako akiwa peke yake anatamani apate namna ya kutanua bishara yake, ila wewe unatamani upate kama ya kwake. Kiwango cha mtaji huamua ufanye nini, kwa ukubwa gani ila haimaanishi utafanya kila kitu kwa ukubwa uutakao. What is 10M kwa mtu anyetaka kufanya biashara ya magari au real estate?Sasa milioni inatosha nini jamani mtaji inatakiwa uanzie mil 10
Watoto wanataka wawe wanasindikiza watu katka biasharaSasa milioni inatosha nini jamani mtaji inatakiwa uanzie mil 10
Wewe nasbr unipe mkeka wa biasharaBado kiongozi unaongea nadharia tu na sio uhalisia wa mambo. Iko hivi hakuna mtaji mdogo wala mkubwa na hakuna mtaji uliowahi kutosha. Unaemtazama kama role model wako akiwa peke yake anatamani apate namna ya kutanua bishara yake, ila wewe unatamani upate kama ya kwake. Kiwango cha mtaji huamua ufanye nini, kwa ukubwa gani ila haimaanishi utafanya kila kitu kwa ukubwa uutakao. What is 10M kwa mtu anyetaka kufanya biashara ya magari au real estate?