msaada tafadhali, nampenda kwa dhati na sipendi kumuumiza ila nina mke japo nampenda sana nifanyaje?
mwambie ukweli tuu kuwa una mke...na bliv me utashangaa bado atakutaka muendelee kugegedana...wanawake akili zao wanajua wenyewe
msaada tafadhali, nampenda kwa dhati na sipendi kumuumiza ila nina mke japo nampenda sana nifanyaje?
wewe mwanaizaya una jinsia mbili za kiume mpaka uhangaike na wanawake wawili?
Mungu kakupa hilo dushelele moja ili ufanyane na mkeo tu wewe unaanza kuhangaika kulitembeza kwa wanawake wengine...
Kwani nyie wanaume akili zenu ndiyo ziko perfect, Mbona unakuwa unafahamu kabisa ni mke wa mtu bado unakuta unamsarandia???mwambie ukweli tuu kuwa una mke...na bliv me utashangaa bado atakutaka muendelee kugegedana...wanawake akili zao wanajua wenyewe
hapo kwenye red, mabinti wa namna hii huwa ndo mabingwa wa kutembea na wanaume za watu huanza kwa kusema siwezi siwezi mwisho wa siku mambo yanaendelea,
Siongei kutoka hewani ndugu yangu, Nilishakutana na ishu inayofanana na hiyo..!
Hata mi naongea kitu ambacho nina experience kubwa sana nacho Neylu... Wengi wanaofanya hivyo, miaka au hata miezi kadhaa iliyopita hawakuwahi kudhani kuna siku wangefanya hivyo...
wewe mwanaizaya una jinsia mbili za kiume mpaka uhangaike na wanawake wawili?
Mungu kakupa hilo dushelele moja ili ufanyane na mkeo tu wewe unaanza kuhangaika kulitembeza kwa wanawake wengine...
safi sana wanawake wote wakiwa hivi nyumba ndogo kwishine!Siwezi kutembea nae kama najua ni mume wa mtu..!!