Nifanyaje yamenikuta!

Nifanyaje yamenikuta!

Ulikuwa una raha wewe, yani ukiwa chuo kuna kadadaa na home pia kadadaa.... mambo ya photocopy jus 4 free....
 
Yani age yako inaonyesha bado mdogo lakini unajipa majukumu yasio na ulazima,kwanza hujipendi,pili huwapendi wote ,Kama ungewapenda usinge wagegeda bila kinga, ebu maliza kusoma achana na mambo ya wasichana wangekua watamu wala usinge wakutaa.... Ivi nikuulize kijana matangazo ya Kondom mpaka kwenye maguzo ya umeme yamebandikwaa vituo via daladala huoni?
 
kwahyo kijana ukijitambulisha unasemaje,una wake wawili,m1 mtoto wake anaitwa....,na mwingine alifariki bahat mbaya,.huna kaz,huna nyumba,sasa mtihan ni mkubwa..nmeshindwa kukusaidia,..heb hangaika kwanza mambo always hua yanajiset
 
Fata ushauri wa King'asti kwishaaaa oa wote ukizingatia umeshatest wote


Sent from Mchina
 
Last edited by a moderator:
Wana MMU naomba ushauri wenu iko hivi. ::;nilipokua mwaka wapili chuo kikuu nilikua namahusiano yakimapenzi namabinti wawili wote form four leavers ila failures,sikupenda mabinti wachuo sabu niliwahi kua nae mmoja mwaka wakwanza alinitenda vibaya nikaapa kua nademu chuoni!sasa hawa mabinti mmoja alikua nyumbani namwingine maeneo yachuo(alikua anafanya kazi stationary) niliwapenda kawaida sana naupendo sawa!mwaka wapili mwishoni wkt narudi nyumbani kumbe yule binti wachuoni alikua namimba,nilipofika nyumbani kama kama kawa nikawa nayule wahome.baada yamuda kidogo demu wachuoni akaniambia anamimba sikukataa sabu kweli nilimtumia sana,likizo ikaisha ile narudi chuo wanyumbani nae anapiga simu anamimba sikukataa pia,nikawa kwenye mtihani mkubwa huku nahuku!kama mwezi watatu hivi yule wachuo alijifungua bahati mbaya mtoto alifariki,ila kupitia hili kwao wote wananijua sikukaa sana nayule wahome mwezi unaofata akajifungua motto wakiume ila yeye mzima hadi sasa!nimekaa nao hadi sasa ila hakuna anayejua kuhusu mwenzie zaidi yangu nawako mbali,chazaidi wote niwife material nawazuri nimejaribu kumwacha wachuoni nimeshindwa nanafsi yangu inanisuta sana sabu nimewahi mtuma mtu amtongoze nipate sababu yakumwacha imeshindika napia huyu home hawamjui.ila huyu home anajulika home nakashakaa mkao wakuolewa napenyewe ajira zinatoka kesho!,ila nikiri wote walinizalia chapa yangu,sabu Hutu alienizalia kidume nicopy Yangu kabisa nahata alie nizalia mtoto akafa nilimuona alikua niwaukoo wangu kabisaaa!sasa hapa nipo kwenye mtihani nanizaidi anafaa kuishi namm?nikijaribu kufikiria kumuacha mmoja moyo wangu unauma sana naukizingatia mm mkristu mke mmoja!,NIFANYAJE YAMENIKUTA NAOMBA MSAADA WENU WANAMMU..

Jamani yaani hawa watoto sijui tutawafanya nini! Unaona sasa wanavyotuzunguka wanafanya mambo ya ajabu? Ila bora huyu amekuwa wazi.
 
Basi kumbe unaeza ukaoa na mwingine asijue, just go ahead!
 
Oa ambae ushazaa nae,afu uyo mwingne tafuta njia nzuri ya kumwacha kisaikolojia ili asiumie sana.Next tym uwe makini kwa uyo mkeo mana we inaonekana utaki kujua kinga au family planning ni nini.
 
me nafikiri swala hapo nikujikaza kiume nakuwaambia ukweli,haswa huyu wa chuoni ndo wakumuambia ila cha msingi wewe mfungulie kamradi flani kisha umuambie ili asione kuwa umemtenda kwa kiwango cha ugaidi maana kesho,kesho kutwa njia kuu ikiwa na ajali utakuja pata faraja huku....
 
mshauri tu.matokeo ya ubazazi wake sasa hajui afanyeje?....i feel sorry for both ladies

mwallu, bahati mbaya wapo wengi wanaioshi hivyo. Ni kuomba Mungu umpate aliyetulia, vijana wengi hawajali tena.
 
Last edited by a moderator:
me nafikiri swala hapo nikujikaza kiume nakuwaambia ukweli,haswa huyu wa chuoni ndo wakumuambia ila cha msingi wewe mfungulie kamradi flani kisha umuambie ili asione kuwa umemtenda kwa kiwango cha ugaidi maana kesho,kesho kutwa njia kuu ikiwa na ajali utakuja pata faraja huku....

kamradi pesa anazo

mwenyewe anasomeshwa!
 
yaani inasikitisha sana..halafu ni vijana wa aina hii hii ndo wanalalamika wanawake wa siku hizi hawajatulia...hapa ni kumtanguliza Mungu tu..mengine yanakatisha sana tamaa
mwallu,
bahati mbaya wapo wengi wanaioshi hivyo. Ni kuomba Mungu umpate
aliyetulia, vijana wengi hawajali tena.
 
Last edited by a moderator:
Uzinzi uufanye wewe halafu kuumiza kichwa tufanye sisi...

Ushauri wangu pekee kwako ni umrejee Mungu na kutubu dhambi zako.
 
Yani age yako inaonyesha bado mdogo lakini unajipa majukumu yasio na ulazima,kwanza hujipendi,pili huwapendi wote ,Kama ungewapenda usinge wagegeda bila kinga, ebu maliza kusoma achana na mambo ya wasichana wangekua watamu wala usinge wakutaa.... Ivi nikuulize kijana matangazo ya Kondom mpaka kwenye maguzo ya umeme yamebandikwaa vituo via daladala huoni?

Unamuonea gere mwenzako kapiga copy! Na hako katoto angekapataje? Watu wako kwenye ndoa zao na huo ukimwi wanaupata.
Ila daa na huyu jamaa ni hatar yani alipiga pacha za nje! Hapo fix zake kuyasolve mi simo, raha wala weye vichwa tuumize sie.
 
Back
Top Bottom