Nifanyaje nimsahau?

Nifanyaje nimsahau?

Mwache huyo kaka sababu huridhiki naye, Wakina Felix chajw kubwa wapo wengi tu
 
KUMBE UMEONA NINGESENAMAMIMIMWANAUME INGEONEKANA NA CRUSH TU WANAWAKE ....HAUNA USALITI HAPO KILA MTU ANA MTU WAKE NA HAJAWEKA WAZI SO KAMA VIPI AKOMAE NA FELIX ILI YULE MWINGINE AACHWE NA SIO KULIA LIA WAKATI AMESEMA ANA MTU WAKE FELIX ALITOKEA BY THE WAY...KUSUKA AMA KUNYOA
Angetulia haya yasingemkuta
 
Hizi tamthilia bwana zinawaharibu wewe jumlisha Felix Maisha yenu mazuri mnaishi posh areas living well pliz give us a break
 
felix achana nae kashakupa mgongo now unajiumiza bure tu tulia na urudi kwa mola wako utubu.pangeni mfunge ndoa kwani kumbuka kuwa hakuna kitu chenye baraka na utulivu kama kuishi katika maisha ya ndoa.
 
HEADLINE:
nifanyeje nimsahau.
STORY INSIDE:
haiendani kabisa na headline hapo juu, then hujui kusummarize habari yako.
Habari yako ni ndefu afu haijaisha.
Mtu hawezi kukushauri kwa hii habari ulioyoandika sana sana ataenjoy kusoma stori yako, madam next time angalia madhari na uandishi wako, hii stori umeonesha majivuno, mapenzi, matukio,usaliti wa mapenzi,

Summarizes stori yako iwe simple, smart but yenye kueleweka, then iwe kiushauri na sio hadithi.....

Tatizo story ya kutunga mkuu
 
Felix alikuwa sahihi kutafuta mwanamke mwingine, hukuwa wazi kwake. Unapata mwanaume anakutambulisha kwa jamaa zake, ww hata ndugu zako hawajui.
 
Back
Top Bottom