Nifanyaje nimsahau?

Nifanyaje nimsahau?

Mmmmmh shost nawe wajiita mke wa Fulani mtarajiwa hapo baadae unangonoka Na mtu humjui status yake what if he has hiv or hepatitis B you are so careless am sorry to tell you that unajielezea kabisa akakupiga deki ukachomeka pincharger aiseeeee
Wengi hujuta baadae hawana Uwezo wa kujizuia. Kumbe uzima ni zaidi ya nayo marahaaaa
 
Kabla ya kujutia alipaswa ajijue yuko wapi awaze hasara zipatkanazo aendako mihemko n mibaya mweeeeh
Wanawake sasa hivi wanahemkia orgasm kumbe ile ni namna wewe unavyojiweka kwa mwenzako HIV hepatitis vipo jamani maisha ni zaid ya lami so tujiulize 100,100

Hata kwenye ndoa unaweza pata mwanamke akuridhishi lakini unaona mtu mzima kuvua kila mwanamke nguo, kila mtu ajue size yako unafundisha yanayowezekana yanayoshindikana unayaacha yalivo
 
Wanawake sasa hivi wanahemkia orgasm kumbe ile ni namna wewe unavyojiweka kwa mwenzako HIV hepatitis vipo jamani maisha ni zaid ya lami so tujiulize 100,100

Hata kwenye ndoa unaweza pata mwanamke akuridhishi lakini unaona mtu mzima kuvua kila mwanamke nguo, kila mtu ajue size yako unafundisha yanayowezekana yanayoshindikana unayaacha yalivo
Wenyewe tunaona n utandawazi ujinga mtupu mwenyewe anajielezaaaaaaaaaaa uhusiano wa kikawaida kashindwa kutulia akiolewa huyums atamaliza ukooo
 
Duuuuh aseee... boyfriend wako angejua uliyokua unafanya na felix.. nae angechanganyikiwa kama wewe...
Nasubiri muendelezo jamani...
 
Hii story iliishia wapi, dadekiiiii kitu kitamu balaaa
 
Okay napenda kutoka with friends kupata one drink and two hasa every friday baada ya wiki ndefu ngumu nikishinda kazini, this day nikaamua kutokudeal na my boyfriend this weekend nkamchinjia baharini, tukaamua leo tufanye ladies day out tukaamua kuanzia kwenye happy hour sehem flan masaki right after work, wakati tukipiga story za one and two kulikua na wanaume watatu pembeni nao walikuwa wametoka kazini wakiwa bado na nguo zao za kiofisi zaidi looking smart.

My friends waliwacrush na wao walikua wakiangalia sana tulipokua tumekaa, well kiufupi nkanyanyuka kwenda toilet nkiwa narudi one of the man kati ya wale wa3 na yeye alikua anatoka washroom so akanisalimia akaomba wahamie kwa meza yetu tupige story na I said yes.

As soon as tulivofika kwenye meza zetu akawastua his friends wakahamia kweny meza yetu story story and story hadi saa tano kasoro, well wakasuggest twende night club since wao walikua na plan izo tukakubali, but tukakubaliana we shud go and change then tutameet tena saa saba katika club moja maarufu iliyoko mikocheni! My friend alichukua namba za mmoja apo na kila mtu akarudi kwake kujiandaa! Nkaamua kuvaa something sexy but classy my heels on and blah blah nikaamua ntaspend my whole weekend at my friend's place weekend nzima.. I took my stuffs ad kwake tukaamua tutumie gari lake ad eneo la tukio.


We were three and mmoja wao alidicide kutokuja kwasabb zizoeleweka basi one of my friend akawa dissapointed but yeah, we had fun this man his name felix alitokea kunilike like but mi sikuwa interested nae kabisa I had to force myself kujifanya napiga story nacheza nae but uh uh I never liked him, akaniomba namba za simu nikampa mda wa kufika kwenda nyumban tukaagana kila mtu kivyake..
Mchana naamka nkakuta missed call zake kibao na msgs nimeamkaje and blah blah nkadecide tu nsimjibu since simpendi na nini nkamchukulia poa... weekend ikaisha nkarudi kwangu my normal life style ikaendelea, akawa ananitext every morning and calls me all time nkijiskia najibu nsipojiskia haya but ye hakukata tamaa life likaendelea


Jumamosi moja my boyfriend aliamua kunitembelea ila badala ya furaha tulioshia kugombana sana sana and nkajikuta nna hasira stressed and nlikua nalia, my boyfriend aliondoka saa tano usiku akaamua kutokulala , nikiwa nimekaa naangalia tv felix as usual akanipigia akaniambia yuko na friends bar flan mikochen niende nkaona ata kama I dont like him acha niende nkapoteze mawazo, nkamuomba anifate sikujiskia kuendesha gari usiku that day, well akaja we went there story more tukaenda club tukadance morning akanirudisha nyumbani, the next day akaniomba twende beach nkenda ikawa ndo desturi most of the weekends naspend na yeye na my friends or us alone, ghafla nkajikuta naipenda campany yake, ikawa muda wa lunch mara chache anakuja kuniona.. tukawa tunaenda movies and all that..


Well.... Nlikua inlove.... tooo much inlove.... nlimpenda sana mpenzi wangu, ila kutokana na ubusy wake kwa sababu yeye ni mfanya biashara ana biashara nyingi tu, akirudi nyumbani yeye ni kula kuoga kulala hapo kalewa mkimate ni four minutes his down!! Weekend hataki kwenda popote yeye ni kulala tv tuuu au akakae bar na his friends ova! Ukimwambia bby nataka tutoke hapendi ana his own life style which is totaly different from mine... mi ni outgoing person na yeye siyo kabisa.. sio mtu wa kupiga simu mara nyingi wala kukujulia hali wala ukiwa na tatizo sio mtu wa kukishauri au kukupa pole, mkikaa hana mda wa mahaba na nini ila ivyo ivyo nilimpenda na nkaamua kuishi maisha hayo....




Felix akawa sasa my good good friend nkiwa na tatizo ntamwambia atanisaidia kwa kweli he was there for me mda wote vizawadi vya hapa na pale na alijaribu kunionyesha kwamba ananipenda ila na hayo yote sikuvutiwa naye kimapenzi, one weekend siku ya jumapili tukaamua twende kwenye band moja maarufu pale escape baada ya kuangalia band kwa mda tukaamua tusogee pemben mwa bahari tukajitenga na watu kabisa tukawa tumesimama huku tukipiga vostori, nlikua nimevaa kigaun kifupi na kiko wazi kiasi nkawa natetemeka baridi sabb ya kiupepo cha bahari akaamua kunikumbatia ghafla tukajikuta tumekiss, tulikiss mda mrefu sana almost robo saa alinikiss vizuri mpaka nkajikuta hali yangu ikawa mbaya nikitamani mengine niliamua kujikaza kikike, ndipo ulipokua mwanzo wa mahusiano yangu na yeye nikaamua kumsaliti boyfriend wangu ambaye tulidumu mwaka na miezi bila ya kumsaliti.. niliufarahia sana uhusiano wangu na felix


Yalipoanza kunikuta,
Ilikua jumatano felix aliniomba niende nkapafahamu kwake ikiwa yeye kila siku tukitaka kutoka lazima anifate kwangu kwake sikuwahi kufika, kama mpenzi wake nikakubali hapo bado sijampenda kabisa felix akinipigia napokea nsipojiskia namwambia niko busy maisha yakimawasiliano hayakua mazur sana

lakini nahisi as man alijua alichokua anakitafuta akaamua kua mvumilivu, basi nkaenda home nkajiandaa nkamwambia anifate as usual, hao adi kwake maeneo ya oysterbay, ilikua saa mbili akanipiga kitour cha nyumba yake it was a nice simple house with two bedrooms za kulala na pazuri sana, tutakaa seating room akaeka movie tukawa tunaangalia, akaamua kunikiss and nikamkiss back, the way alivyonikiss alinifanya nitake zaidi.
Ghafla akaanza kunipapasa kifuani nilijikuta simzuii nlitaka zaidi, kwa kweli alikua romantic kitu ambacho sikuwahi kuexperience kwa boyfriend wangu, alinishika shika mpaka nkajikuta nimelegea kabisa nkajikuta niko kama nilvyozaliwa alinipiga deki mpaka nkahisi kuchanganyikiwa kwa raha nilizozisikia, apo apo nkajikuta kashachomeka charger pin yake ilikua kubwa kuliko na aliichomeka taratibu

Nilisikia vitu visivyoelezeka, wakati wa show alikua akiniambia maneno ambayo yalizidi kunihamasisha wakat boyfriend wangu yeye huwa bubu anachojua ni kuchomeka charger basi, nlipewa usiku mzima hadi tukanogewa na kesho yake kila mtu aliomba ruhusa kazini.. tukaspend siku nzima tukipeana, ni vitu ambavyo sikuwahi kuvipata wala kuexperience.. aliniogesha alinifanyia massage yani nilodata kwa kweli......


ITAENDELEAAA...
patamu sana hapathread ya ukweli kinoma...nakupabigup umeleta matukio mazuri yakujifunzana kusisimu ajapo ni true story....ila mh story imehamasisha ........
 
umenigombanisha na mke wangu, maana nimedinda wakat nasoma ghafla kaona anauliza nini kinaendelea jf/ kumpa asmoe, du, nasisi tumenzia hapo hapo, mbaya humba kimoja kumbe mtt alikuwa anapiga chabo.
kumbe niliyedinda sio mimi tu
 
Unamwita msaliti kumbe nyote wasaliti mnasalitiana sjui hua tunatakaga nn sisi wanawake ulishasema umempenda hivohivo Na maisha yake ya kutokueleweka huyo Felix mmekutana tu mmeanzisha mahusiano paaaap nyie ndio mnatufanyaga wanake wote tuonekane vituko umevuna ulichopanda umeyavulia nguo maji huna Budi kuyaoga
 
baada ya kushinda siku nzima asubuhi ilifika nilitakiwa niondoke mapema sana kwan niliona tena uvivu kwenda nyumbani, asubuhi tuliamka felix alikua kasharidhika na shoo za siku nzima nilijikuta nataka tena yeye alinigomea niliipapasa mic lakini iligoma kuwaka ikanibidi nianze kuflow na mic ndo ilipowaka tukapiga tena show baada ya show aliniogesha sikujigusa hata kidogo akanipaka mafuta yeye akavaa nguo zake za ofisini akanipeleka nyumbani nikajiandaa nkachukua gari yangu nkaelekea ofisini, kiukweli nilihisi kama kuna kitu nimekipunguza mwilini mwangu na ghafla nikawa mwepesi, nlikua nacheka cheka tu nafurahi kila nkikumbuka zile show, sikuwahi hata siku moja kuanza kumtumia felix msg au kumpigia this time nlijikuta natamani nimpigie niskie sauti yake au tu nichat nae nkajifanya kumwambia "mambo nimeshau mkufu nyumbani kwako" kumbe ni chanzo tu, tulichat sana ata kazi nkawa najisahau kuzifanya adi niligombana na mfanyakazi mwenzangu hiyo siku kisa tu felix... mda wote akili yangu ilimuwaza felix sijui kilichonipata ni kitu gani,mda wote nilikua nikichat na best friend wangu nilimuadisia utu story za felix mpaka alinishangaa, usiku pia nilijikuta namuota!!
Nilijikuta nabadilika nikimtumia msg asipojibu nakasirika napata mawazo nikimpigia asipokee nawaza mengi!


Mahusiano na felix yaliendelea vizur sana ikafikia hatua mda wa lunch alikua akija kuniona uvumilivu ulikua unatushinda tukawa tunapiga show hadi kwenye gari lake ambalo lilikuwa na tint na kidogo liko juu ambalo ni lexus, nahapo nikajikuta nimempenda sana... (tulipima kabisa japo niliogopa sana iyo siku nayo ni story nyingine).. aliniomba funguo za nyumban kwangu ili akiamua awe anakuja na pia alitamani sana awe anakuja kwangu lakini nilimpa visingizio visivyoisha, tayar boyfriend wangu alikua na funguo zangu na mda wowote alikuja akijiskia, alitamani awajue japo ndugu zangu ila ilikua ngumu kwangu wakati mi alinitambulisha kwa watu wake wote wa karibu ilikua ni kwasababu wengi wao walikua wanamfahamu yule, kuna kipindi ambacho nilijikuta nabanwa weekend ata mbili ata mida baada ya kazi boyfriend wangu alikuwa ananitembelea japo nilimpenda felix ila huyuku nae anamchango mkubwa sana katika maisha yangu ikiwa kazi nayoifanya yeye ndo aliyeniunganisha kwenye company ya rafiki yake baada ya kukaa mwaka mzima bila kaz baada ya kumaliza chuo na nalipwa vizuri sana hadi kupelekea kufanya vitu vya maana ikiwemo hadi kununua gari , na alinisaidia sana kipindi nikiwa chuo kabla hatujaanza mahusiano kama rafiki yangu wakaribu sana, na pia ndiye aliyenitafutia nyumba huku ushuani na alikua akinilipia kodi mpaka nilipoanza kazi ikiwa yeye anaishi na kaka yake na mdogo wake na ameshajenga tayari hivyo namuheshimu kupita maelezo. (naona mnajiuliza felix anafanya kazi gani au vipi vipi) yeye anafanya kazi company moja ivi kama muhasibu na boyfriend wangu amemzidi kila kitu kimaisha hadi kipato!! Muda mwingine alikua akinipigia simu nashindwa kupokea kuna kipindi boyfriend wangu alikuja kwangu tukakaa siku nne mda ambao tulizoea kuongea usiku ni saa nne akiwa amepumzika ila iliniwia vigumu


Maisha yakaendelea tukiwa na mahusiano ya miez karibia sita au saba ivi, nilienjoy sana japo felix alikua akiniuliza tu mienendo yangu, sikumshirikisha chochote kuhusu mimi, ila yeye aliniambia mipango yake mara kanunua kiwanja sehem flani kafanya hivi ila mimi no!! Basi siku moj weekend nikaamua kwenda kumsalimia ilikua jumamosi asubuhi, tukiwa tumekaa ghafla aliitwa kazini akajiandaa haraka haraka akaondoka, nikaamua nimfanyie usafi sikuwahi kufanya usafi ule usafi haswa mara nyingi tunashinda tukikumbatiana nkienda kwake, au nikiamua nifanye usafi boyfriend wangu atanipigia ntakurupuka, basi nkaanza na chumba cha pili nkadeki vzur tu, jikoni sitting n.k nkaamua nimalizie chumbani ikiwa kabati lina nguo hazijapangwa na nini, basi nkaamua nipange nguo nkasema zingine ntazimalizia ngoja nchukue nguo chafu nizitumbukize kwenye washing machine zikiwa zinafuliwa nimalizie izo zingine wakati namalizia kuzipanga nkakutana na nguo za kike zimesukumizwa kwa ndani, chupi na nightdress pamoja na kanga moyo ulinipasuka nkajikuta nimekaa chini nisijue cha kufanya, felix ananifanyia hivi ananisaliti? Nilitamani nimpigie ila nilishindwa roho iliniuma sana, nkajiona mjinga sana kufanya usafi na kumwambia nitampikia, nikawa sina jinsi nlizotoa nguo kwenye machine nkaenda kupika nilijikaza ila hali niliyokua nayo nikipata picha raha zote tulizopita ahadi zote leo ananisaliti? Basi aliporudi tu nilimkaribisha kwa maneno nilimsema nilimgombeza sana aliniomba msamaha sana ndo kupenda tena nkajikuta namsamehe, usiku ule nkaandaa chakula tukala usiku ule show kama kawaida asubuhi boyfriend wangu alintumia msg anakuja ivyo nimuandalie breakfast akitoka kanisani anakuja, nilimuacha felix kalala nkajiandaa wakati nataka kutoka nkamuamsha alikasirika sana lakini ndo siku na jinsi nlimdanganya danganya nkaondoka, lakini bado roho iliniuma sana kwanini felix anisaliti lakini nkawa najikuta nna kinyongo akinipigia nasahau, maisha yakaendelea....


Vituko vikaanza
Siku moja namtext whatsapp nkaona profile picture ya mkono wa mdada umeshikilia pochi nilipomuuliza alinijibu ni mdogo wake sikua na hiana basi sawa tukaendelea tu na mahusiano vizuri this time felix akabadilika mkikubaliana anakuja kukufata mara haji visingizio, ukimpigia ghafla tu excuse kibao roho iliniuma sana ila kwakua nampenda nkavumilia, siku moja nkaamua niende kwake ilikua ijumaa ilikua ni holiday nakumbuka kulikua na mpira akaitwa na wenzake kuangalia mida ya saa kumi na mbili ivi nikiwa nimekaa naangalia kipindi flani ivi dstv ghafla ikaacha kuonyesha ilikua saa mbili usiku hivi na alisahau kueka kifurushi na ivi alinitenda nkasema simnunulii wala nini ninunue wengine waangalie basi akaniambia hana hela kwenye simu mpaka kesho akaniambia kwenye begi lake la laptop kuna external nichukue niangalie movie nisiboeke hadi atakaporudi, katika kutafuta na kuchokonoa chokonoa sindio nikaona file kuingia ndo naona picha kibao na videos walizojirecord yeye na girlfriend wake alieniambia wameachana na kuangalia tarehe ya picha zilizopigwa ni jana yake kumbe walitoka, zingine ikiwemo ile niliyoiona whatsapp kumbe aliicrop ghafla nilianza kulia moyo uliniuma nilitamani ardhi ipasuke niingie, nilivaa hapo hapo kwa hasira na kutoka nje nilifata barabara kama chizi sikuwa na gari siku hiyo alinifata kwangu nikaliacha, hadi nilipokutana na bajaji nikaamua kurudi nyumbani!! Kwa hasira nilimtumia msg nkaamua kuachana naye, alijitetea kwa kusema alikua hanielewi akaamua kutafuta mtu mwengine, hivyo tukaachana mazima!! Ila roho iliniuma sana nkawa mtu wa mawazo chakula hakipiti, nkitoka na marafiki namuwaza tu yeye, nikikutana na boyfriend wangu sipati raha kama nzlizokua nazipata kwa felix ikafika adi wakati wa show namuwaza au kukumbuka kipigo cha felix na mimi ndo naskia raha, nikilala usiku nazikumbukia tu show plus tuliendana sana baadhi ya mambo, tulikua tukitoka sana na alikua so romantic kuanzia kuongea adi msg mpaka chumbani, nilipata mateso sana siezi kuelezea..


ITAENDELEAA.........
Sasa wasema umepata mateso hadi huwezi kuelezea,huu uzi umeufungua ili ufanyaje
 
baada ya kushinda siku nzima asubuhi ilifika nilitakiwa niondoke mapema sana kwan niliona tena uvivu kwenda nyumbani, asubuhi tuliamka felix alikua kasharidhika na shoo za siku nzima nilijikuta nataka tena yeye alinigomea niliipapasa mic lakini iligoma kuwaka ikanibidi nianze kuflow na mic ndo ilipowaka tukapiga tena show baada ya show aliniogesha sikujigusa hata kidogo akanipaka mafuta yeye akavaa nguo zake za ofisini akanipeleka nyumbani nikajiandaa nkachukua gari yangu nkaelekea ofisini, kiukweli nilihisi kama kuna kitu nimekipunguza mwilini mwangu na ghafla nikawa mwepesi, nlikua nacheka cheka tu nafurahi kila nkikumbuka zile show, sikuwahi hata siku moja kuanza kumtumia felix msg au kumpigia this time nlijikuta natamani nimpigie niskie sauti yake au tu nichat nae nkajifanya kumwambia "mambo nimeshau mkufu nyumbani kwako" kumbe ni chanzo tu, tulichat sana ata kazi nkawa najisahau kuzifanya adi niligombana na mfanyakazi mwenzangu hiyo siku kisa tu felix... mda wote akili yangu ilimuwaza felix sijui kilichonipata ni kitu gani,mda wote nilikua nikichat na best friend wangu nilimuadisia utu story za felix mpaka alinishangaa, usiku pia nilijikuta namuota!!
Nilijikuta nabadilika nikimtumia msg asipojibu nakasirika napata mawazo nikimpigia asipokee nawaza mengi!


Mahusiano na felix yaliendelea vizur sana ikafikia hatua mda wa lunch alikua akija kuniona uvumilivu ulikua unatushinda tukawa tunapiga show hadi kwenye gari lake ambalo lilikuwa na tint na kidogo liko juu ambalo ni lexus, nahapo nikajikuta nimempenda sana... (tulipima kabisa japo niliogopa sana iyo siku nayo ni story nyingine).. aliniomba funguo za nyumban kwangu ili akiamua awe anakuja na pia alitamani sana awe anakuja kwangu lakini nilimpa visingizio visivyoisha, tayar boyfriend wangu alikua na funguo zangu na mda wowote alikuja akijiskia, alitamani awajue japo ndugu zangu ila ilikua ngumu kwangu wakati mi alinitambulisha kwa watu wake wote wa karibu ilikua ni kwasababu wengi wao walikua wanamfahamu yule, kuna kipindi ambacho nilijikuta nabanwa weekend ata mbili ata mida baada ya kazi boyfriend wangu alikuwa ananitembelea japo nilimpenda felix ila huyuku nae anamchango mkubwa sana katika maisha yangu ikiwa kazi nayoifanya yeye ndo aliyeniunganisha kwenye company ya rafiki yake baada ya kukaa mwaka mzima bila kaz baada ya kumaliza chuo na nalipwa vizuri sana hadi kupelekea kufanya vitu vya maana ikiwemo hadi kununua gari , na alinisaidia sana kipindi nikiwa chuo kabla hatujaanza mahusiano kama rafiki yangu wakaribu sana, na pia ndiye aliyenitafutia nyumba huku ushuani na alikua akinilipia kodi mpaka nilipoanza kazi ikiwa yeye anaishi na kaka yake na mdogo wake na ameshajenga tayari hivyo namuheshimu kupita maelezo. (naona mnajiuliza felix anafanya kazi gani au vipi vipi) yeye anafanya kazi company moja ivi kama muhasibu na boyfriend wangu amemzidi kila kitu kimaisha hadi kipato!! Muda mwingine alikua akinipigia simu nashindwa kupokea kuna kipindi boyfriend wangu alikuja kwangu tukakaa siku nne mda ambao tulizoea kuongea usiku ni saa nne akiwa amepumzika ila iliniwia vigumu


Maisha yakaendelea tukiwa na mahusiano ya miez karibia sita au saba ivi, nilienjoy sana japo felix alikua akiniuliza tu mienendo yangu, sikumshirikisha chochote kuhusu mimi, ila yeye aliniambia mipango yake mara kanunua kiwanja sehem flani kafanya hivi ila mimi no!! Basi siku moj weekend nikaamua kwenda kumsalimia ilikua jumamosi asubuhi, tukiwa tumekaa ghafla aliitwa kazini akajiandaa haraka haraka akaondoka, nikaamua nimfanyie usafi sikuwahi kufanya usafi ule usafi haswa mara nyingi tunashinda tukikumbatiana nkienda kwake, au nikiamua nifanye usafi boyfriend wangu atanipigia ntakurupuka, basi nkaanza na chumba cha pili nkadeki vzur tu, jikoni sitting n.k nkaamua nimalizie chumbani ikiwa kabati lina nguo hazijapangwa na nini, basi nkaamua nipange nguo nkasema zingine ntazimalizia ngoja nchukue nguo chafu nizitumbukize kwenye washing machine zikiwa zinafuliwa nimalizie izo zingine wakati namalizia kuzipanga nkakutana na nguo za kike zimesukumizwa kwa ndani, chupi na nightdress pamoja na kanga moyo ulinipasuka nkajikuta nimekaa chini nisijue cha kufanya, felix ananifanyia hivi ananisaliti? Nilitamani nimpigie ila nilishindwa roho iliniuma sana, nkajiona mjinga sana kufanya usafi na kumwambia nitampikia, nikawa sina jinsi nlizotoa nguo kwenye machine nkaenda kupika nilijikaza ila hali niliyokua nayo nikipata picha raha zote tulizopita ahadi zote leo ananisaliti? Basi aliporudi tu nilimkaribisha kwa maneno nilimsema nilimgombeza sana aliniomba msamaha sana ndo kupenda tena nkajikuta namsamehe, usiku ule nkaandaa chakula tukala usiku ule show kama kawaida asubuhi boyfriend wangu alintumia msg anakuja ivyo nimuandalie breakfast akitoka kanisani anakuja, nilimuacha felix kalala nkajiandaa wakati nataka kutoka nkamuamsha alikasirika sana lakini ndo siku na jinsi nlimdanganya danganya nkaondoka, lakini bado roho iliniuma sana kwanini felix anisaliti lakini nkawa najikuta nna kinyongo akinipigia nasahau, maisha yakaendelea....


Vituko vikaanza
Siku moja namtext whatsapp nkaona profile picture ya mkono wa mdada umeshikilia pochi nilipomuuliza alinijibu ni mdogo wake sikua na hiana basi sawa tukaendelea tu na mahusiano vizuri this time felix akabadilika mkikubaliana anakuja kukufata mara haji visingizio, ukimpigia ghafla tu excuse kibao roho iliniuma sana ila kwakua nampenda nkavumilia, siku moja nkaamua niende kwake ilikua ijumaa ilikua ni holiday nakumbuka kulikua na mpira akaitwa na wenzake kuangalia mida ya saa kumi na mbili ivi nikiwa nimekaa naangalia kipindi flani ivi dstv ghafla ikaacha kuonyesha ilikua saa mbili usiku hivi na alisahau kueka kifurushi na ivi alinitenda nkasema simnunulii wala nini ninunue wengine waangalie basi akaniambia hana hela kwenye simu mpaka kesho akaniambia kwenye begi lake la laptop kuna external nichukue niangalie movie nisiboeke hadi atakaporudi, katika kutafuta na kuchokonoa chokonoa sindio nikaona file kuingia ndo naona picha kibao na videos walizojirecord yeye na girlfriend wake alieniambia wameachana na kuangalia tarehe ya picha zilizopigwa ni jana yake kumbe walitoka, zingine ikiwemo ile niliyoiona whatsapp kumbe aliicrop ghafla nilianza kulia moyo uliniuma nilitamani ardhi ipasuke niingie, nilivaa hapo hapo kwa hasira na kutoka nje nilifata barabara kama chizi sikuwa na gari siku hiyo alinifata kwangu nikaliacha, hadi nilipokutana na bajaji nikaamua kurudi nyumbani!! Kwa hasira nilimtumia msg nkaamua kuachana naye, alijitetea kwa kusema alikua hanielewi akaamua kutafuta mtu mwengine, hivyo tukaachana mazima!! Ila roho iliniuma sana nkawa mtu wa mawazo chakula hakipiti, nkitoka na marafiki namuwaza tu yeye, nikikutana na boyfriend wangu sipati raha kama nzlizokua nazipata kwa felix ikafika adi wakati wa show namuwaza au kukumbuka kipigo cha felix na mimi ndo naskia raha, nikilala usiku nazikumbukia tu show plus tuliendana sana baadhi ya mambo, tulikua tukitoka sana na alikua so romantic kuanzia kuongea adi msg mpaka chumbani, nilipata mateso sana siezi kuelezea..


ITAENDELEAA.........
Kwanza mpaka hapo ushafanya makosa tena makubwa na Ww ni msaliti mkubwa,tubu kwa mola wako na ufunge ndoa na huyo aliyekuwa na Ww katika shida na raha,huyo felix kashakuchezea now kakuona huna thamani tena kwake na ukiwa mjinga utakosa bara na pwani
 
Pole, ila jua kama wewe ulivompenda Felix kwa mahaba yake labda yeye hajakupenda. Unadhani mwenzako akisikia hata umia? Mkuki kwa nguruwe kwa binadam mchungu

Dada mpende akupendae sasa angalia kama angekuwa amekuoa ndo ma presha na ma visukari yangekuvaa

Sisi tusiojua kugegeda ni waaminifu, wewe unadhani nayo mafunzo amezaliwa nayo? Amejifunza sasa hesabu ni star wa mapenzi amefanya na wengi ndo maana akawa star

Sasa wewe kuwa na star anaeiharibu nafsi yako au utulie na mwenda pole. Usikonde huyu utamzoea tu. Achana na Felix hakupendi anakudanganya
HAPANA YEYE NDO ANAMDANGANYA FELIX HIHIHIHI
 
Unamwita msaliti kumbe nyote wasaliti mnasalitiana sjui hua tunatakaga nn sisi wanawake ulishasema umempenda hivohivo Na maisha yake ya kutokueleweka huyo Felix mmekutana tu mmeanzisha mahusiano paaaap nyie ndio mnatufanyaga wanake wote tuonekane vituko umevuna ulichopanda umeyavulia nguo maji huna Budi kuyaoga
KUMBE UMEONA NINGESENAMAMIMIMWANAUME INGEONEKANA NA CRUSH TU WANAWAKE ....HAUNA USALITI HAPO KILA MTU ANA MTU WAKE NA HAJAWEKA WAZI SO KAMA VIPI AKOMAE NA FELIX ILI YULE MWINGINE AACHWE NA SIO KULIA LIA WAKATI AMESEMA ANA MTU WAKE FELIX ALITOKEA BY THE WAY...KUSUKA AMA KUNYOA
 
Back
Top Bottom